Hahahaaa[emoji3][emoji3][emoji3]Mwache baba paroko wangu [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] .
Nitamchungulia
Unachanganya mapupu na map*m*u! Si ndio?Haaaa nitafikiria kwanza
Hivi kwani wa kati wa kula halua huwa hujagusi kabisa ama?[emoji3] [emoji3] [emoji3] wewe ndo umenituma
AiseeeMimi huwa sio wa spoti spoti..
Naomba tuu usimpe Sakayo wangu mkuu..
Pera ntakula jirani
Swalehe hajamboAisee hivi huku kuna nini eti mwifwa
Kaenda wapi kwaniAisee swalehe mzma ila maza yake kaniacha
Pole mwaya,Kanitema mkuu