Hapana aseeeHuyo babe hafai, mteme uwe bane wangu ndio full shangwe hadi furaha
Kwani jioni chapati haziliki?Siliii ni asubuhi tu na chapati
Huyu mwanamke atanishinda tabi... , akiwa nyumbani anasema hapendi kabisa kula mapupu, kumbe anakula kwa majirani.Ndio.
Si umeona anavyojua muda wake?
Sijui jaman jioni mm hunilishiKwani jioni chapati haziliki?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Huyu mwanamke atanishinda tabi... , akiwa nyumbani anasema hapendi kabisa kula mapupu, kumbe anakula kwa majirani.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] babe hayo tena yatakuwa sio haya mapupu tunayozungumzia na MwifwaHuyu mwanamke atanishinda tabi... , akiwa nyumbani anasema hapendi kabisa kula mapupu, kumbe anakula kwa majirani.
Hahaha, naona mzee unataka kurithi mali mwenyewe bado napumuaHuyo babe hafai, mteme uwe bane wangu ndio full shangwe hadi furaha
Nitakulisha na utakula hadi utafurahiSijui jaman jioni mm hunilishi
Usidanganywe kabisa, ni haya haya tunayoyazungumzia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] babe hayo tena yatakuwa sio haya mapupu tunayozungumzia na Mwifwa
Kuna mtu aliniambia mapupu na sausage ni matamu balaa, eti ni kweli babe.Siliii ni asubuhi tu na chapati
Lori limekushinda achia ngazi mkuuHahaha, naona mzee unataka kurithi mali mwenyewe bado napumua
[emoji3] ni yapi hayo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] babe hayo tena yatakuwa sio haya mapupu tunayozungumzia na Mwifwa
Taratibu tunapata wanachama[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kuna mtu aliniambia mapupu na sausage ni matamu balaa, eti ni kweli babe.
Apambane na gundu lake kwanza huyo alishasema mara nyingi eti me ni Bibi sasa anakujaje kwa Bibi akutane na manyama yaliyoshuka auHahaha, naona mzee unataka kurithi mali mwenyewe bado napumua
Sitakiii mtafute wa kumlishaNitakulisha na utakula hadi utafurahi
Sio hayoUsidanganywe kabisa, ni haya haya tunayoyazungumzia
Ni kweli babe si unajua mapupu yalivyo laini lainiKuna mtu aliniambia mapupu na sausage ni matamu balaa, eti ni kweli babe.
Ahahahhh unajua mwenyewe ulichozungumza[emoji3] ni yapi hayo
Hazungumzii mapupu ya kulaTaratibu tunapata wanachama[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]