Haaaah. Haaaah. Haaaah. Unajua kushinda vita ni pamoja adui kutokujua silaha zako. Sa huyu damuchanga kashatoa boko, tutashambuliwa sana. Kama ndoano yangu ishajulikana, hamna kitoga atanasa...!Yaaani kadilute hadi kadisturbe titration yote
Si ndio hapo sasa.Haaaah. Haaaah. Haaaah. Unajua kushinda vita ni pamoja adui kutokujua silaha zako. Sa huyu damuchanga kashatoa boko, tutashambuliwa sana. Kama ndoano yangu ishajulikana, hamna kitoga atanasa...!
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Haaaah. Haaaah. Haaaah. Mwambie huyo baby wako, ya jandoni ni ya kiumeni! Asiwe anakuletea!
Aisee nisamehe bradhaUmemwaga kuku kwenye wengi. Hii dhambi nakuapia itawatafuna wewe Shunie na damu changa wako!
Daah. So sad. Yaani mkuu tumevuliwa nguo uwanja wa Taifa kweupeee!Si ndio hapo sasa.
Nilijaribu kurusha kwa shunie ndio msala ukalipuka [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Youngblood kafunua pazia lote
Akwambie yale mengine, sio hayaAhahahhh atanifichaje sasa mtu tunalala shuka moja
Najihisi kama ndio Mimi mkuu! Ukifeli weee tumefeli sote!Si ndio hapo sasa.
Nilijaribu kurusha kwa shunie ndio msala ukalipuka [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Youngblood kafunua pazia lote
Hahaha, wala usiwe na wasiwasi na hilo jina babe wangu, hilo nilipewa na babu yangu wakati nikiwa mdogo.Woiiii hivi jamaan young kwa nini alijiita hivyo hapo ndio namkumbuka sakayo jaman
Youngblood ni msaliti kama le prof wa BuguruniSi ndio hapo sasa.
Nilijaribu kurusha kwa shunie ndio msala ukalipuka [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Youngblood kafunua pazia lote
Punguza wivu weweAkwambie yale mengine, sio haya
Sikulagi nyama za watuNing'ate sikio jirani
Nahisi hivyoOooh yuleee wa mengi mengi
Next Sunday, hebu fafanua kidogo shemSee you next Sunday.....
Atawacheka nyie, mimi kwangu ataongeza mahabat!!!Umeunguza ramani, Shunie anatucheka kwa dharau
HahaWoiiii hivi jamaan young kwa nini alijiita hivyo hapo ndio namkumbuka sakayo jaman