[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Sikulagi nyama za watu
Nashukuru kulitambua hilo [HASHTAG]#Sakayo[/HASHTAG]...nitakuwa mgeni muaminifu, hata chumbani kwako nipokee sina makuu mimi[emoji39] [emoji12]Sawa Jirani
Asavali amesema wewe mkuuJirani wageni wema kama huyo ndio wakukaribisha
Lifti si lazima uwe na gari [HASHTAG]#Shunie[/HASHTAG]...Lift ya nini tena mkuu mana me na sakayo hatuna magari zetu kusimamia bomba
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Nashukuru kulitambua hilo [HASHTAG]#Sakayo[/HASHTAG]...nitakuwa mgeni muaminifu, hata chumbani kwako nipokee sina makuu mimi[emoji39] [emoji12]
Ndo kesha tia timuHuyo nae
Utamuelewa tu tar'tiiiiibuSijamuelewa mie
Mkuu wewe ni muhenga hapa JF lakini inaonekana hauko active sana.Utamuelewa tu tar'tiiiiibu
Ha Haa Haaa....ni kweli mkuu, ndo miongoni mwa wale members wa mwanzooni kbs enzi hizo jf inaitwa jambo forums. Majukumu Mkuu na vyuma ndo tumeambiwa tuweke girisi... Any way najaribu kufuata ushauri wa mzee tuone jee vitalainikaa??Mkuu wewe ni muhenga hapa JF lakini inaonekana hauko active sana.
Hujaweka girisi kama mzee alivyoshauri?
Kweli kabisa maana mambo ya siku hizi ni simple hadi Expansion joint zinatufanya tupumue vizuri [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ha Haa Haaa....ni kweli mkuu, ndo miongoni mwa wale members wa mwanzooni kbs enzi hizo jf inaitwa jambo forums. Majukumu Mkuu na vyuma ndo tumeambiwa tuweke girisi... Any way najaribu kufuata ushauri wa mzee tuone jee vitalainikaa??
Ha haa haaaa.....hatari sn mkuuKweli kabisa maana mambo ya siku hizi ni simple hadi Expansion joint zinatufanya tupumue vizuri [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sisi wengine girisi yetu ni hili jukwaa ambapo tunatoa stress za hapa na pale huku siku zikizidi kuchanja mbuga
Unaenda wapi babyJamani
Mpaka wakati mwingine, kwaherini!!!!
Njoo tutumbue, japo umechelewa... mtumbuo unaendelea.Nikuje na mie kutumbua
[emoji122]Sawa