X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Doh...ila maringo ya huyu yamezidi...anaufanya moyo wangu kama kitenesi...kudunda dunda...mwishowe utapasuka kwa kudondokea mwibaKuringa kaumbiwa mwanamke ujue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada acha urongo buanaUpo ziwaaa
Nasikia leo ni siku ya kushikwa nyonyo duniani
Mguno wa uchochezi mfyuuuuMmmmh
Ndio vizuri ujueDoh...ila maringo ya huyu yamezidi...anaufanya moyo wangu kama kitenesi...kudunda dunda...mwishowe utapasuka kwa kudondokea mwiba
Poa....ila tufanyeni juu chini...jukwaa hili tulipiku lile la MakapukuNdio vizuri ujue
Kweli vile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada acha urongo buana
MwenyeweMguno wa uchochezi mfyuuuu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] makapuku me ndio nyumbani huku hatushindani hiki ni kijiwe chetu tu cha soga na kukutana story kaweke entertainmentPoa....ila tufanyeni juu chini...jukwaa hili tulipiku lile la Makapuku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo dada umeshashikwa auKweli vile
Na lara naye kasusa,arosto itakuuaSanaaa aisee napenda sana story tena ungeweka kipindi hiki ungetupata sana tuna arosto sana entertainment story zimesimama
We si ulisema hujazaliwa bado[emoji23][emoji23]Ujue nina miaka 6 Mbona unanifanyia hivyo lakini[emoji23] [emoji23] [emoji23]
We hujagi entertainment unasubiri za Lara huko kuna story kibaoNa lara naye kasusa,arosto itakuua
Tuko poa Youngblood za wewe jamanSijui hata nilikuwa wapi
Shunnie
Linamo
Sakayo na wengine wote mko poa?
Niko poa kabisa,niliwamis sana aisee.Tuko poa Youngblood za wewe jaman
Akiweka usisahau kuniitaMapenzi na maisha ikiisha weka za kusisimua na kuamsha hisia
Sisi pia mpaka tumeamua kuanzisha kijiwe cha kukutanaNiko poa kabisa,niliwamis sana aisee.
Sawa sawaAkiweka usisahau kuniita
Naona unataka madude ya msomali[emoji23][emoji23][emoji23]Hapana nitasoma nikiwa na shemeji yako