Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Yani hapa pazuri sana, pongezi kwa Linambo kwa wazo zuriSisi pia mpaka tumeamua kuanzisha kijiwe cha kukutana
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] nataka kuliamsha dudeNaona unataka madude ya msomali[emoji23][emoji23][emoji23]
Uwe unaniita napenda sana storiWe hujagi entertainment unasubiri za Lara huko kuna story kibao
Sanaaa yaan kila siku tulikua tunateka thread za watuYani hapa pazuri sana, pongezi kwa Linambo kwa wazo zuri
Unaonekana tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] nataka kuliamsha dude
Nenda entertainment utachoka wewe kuna story nyingi sana sasa hivi zimesimama watu tuna arostoUwe unaniita napenda sana stori
Nina uhakika baba d yupo pembeni hata nikiliamsha ujue [emoji41][emoji41][emoji41]Unaonekana tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha nikajisajiri kabisaNenda entertainment utachoka wewe kuna story nyingi sana sasa hivi zimesimama watu tuna arosto
KimbiaAcha nikajisajiri kabisa
HongeraNina uhakika baba d yupo pembeni hata nikiliamsha ujue [emoji41][emoji41][emoji41]
Sasa wataisoma namba, watakuja wenyewe kututafuta tukawachangamshe[emoji23] [emoji23]Sanaaa yaan kila siku tulikua tunateka thread za watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wataisoma namba, watakuja wenyewe kututafuta tukawachangamshe[emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona ya kiupole hivyo wapi coleHongera
Katekwa na nissan nyeupe[emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona ya kiupole hivyo wapi cole
Ongea taratibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo dada umeshashikwa au
Mie mzimaSijui hata nilikuwa wapi
Shunnie
Linamo
Sakayo na wengine wote mko poa?
Kama uko poa ni jambo la kumshukuru mungu mkuu...tuko pamoja.Mie mzima
Habari zetu nzuri ngoja masingle wakuje mkuubila kuandika chochote hapa sitajisikia huru, habari zenyuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!! hapa naweza nikapata hata mke mana nimekuwa single mpaka naogopa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] umeshikwa lipi sasaOngea taratibu