[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio mana umenipa hongera ya kiupoleKatekwa na nissan nyeupe[emoji15][emoji15]
Humu single ladies wapo lakini Unavailable,usimpe moyo sana kijana atakuja kujinyonga bure.Habari zetu nzuri ngoja masingle wakuje mkuu
nissan nyeupe haimwachi mtu salamaKatekwa na nissan nyeupe[emoji15][emoji15]
Mimi pia nimeliona hilo ,usi umejaa watu wenye ustaarabu wa hali ya juu.huu uzi nautabiria mema
haaaa haaaa haaaa sidhani kama ntajinyonga mkuuHumu single ladies wapo lakini Unavailable,usimpe moyo sana kijana atakuja kujinyonga bure.
Asante mkuu karibu sanahuu uzi nautabiria mema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu single ladies wapo lakini Unavailable,usimpe moyo sana kijana atakuja kujinyonga bure.
HallelujahMimi pia nimeliona hilo ,umejaa watu wenye ustaarabu wa hali ya juu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] inawezekana kabisa mkuu,hebu fikiria maumivu ya kupigwa kibuti na mtoto mzuri kama linamo[emoji23] [emoji23] unaweza ukatafuta ilipo sumu ya mende.haaaa haaaa haaaa sidhani kama ntajinyonga mkuu
dah nahisi ntafungua id nyingine,kuachwa sio mchezo ndugu yangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] inawezekana kabisa mkuu,hebu fikiria maumivu ya kupigwa kibuti na mtoto mzuri kama linamo[emoji23] [emoji23] unaweza ukatafuta ilipo sumu ya mende.
Toa album kama singo zinakuogopesha[emoji23][emoji23][emoji23]bila kuandika chochote hapa sitajisikia huru, habari zenyuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!! hapa naweza nikapata hata mke mana nimekuwa single mpaka naogopa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]muone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio mana umenipa hongera ya kiupole
nataka kubadilisha hii avatar yangu maana warembo wanaweza kunikataa,inabidi niweke romantic photo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewaza niniinataka kubadilisha hii avatar yangu maana warembo wanaweza kunikataa,inabidi niweke romantic photo
Karibu sanaaaNikajua Labda kitchen party, maana pameitwa wadada nikaogopa kukuta watu wako uchi nikavunga Kwanza kumbe nimejichelewesha mwenyewe, aisee
Tena mbele za watudah nahisi ntafungua id nyingine,kuachwa sio mchezo ndugu yangu