Asante luv na kwako piaHaya kipenzi uwe na weekend njema na sikuu njema pia
Hahahaha, safi sana,ukaribieMm nipo na 45
Sasa mbona mtu mzima we mwenzangu unapenda sana stareheHahahaha, safi sana,ukaribie
Strees ,Mzee mwenzangu maybe nikipata mwenzangu zitaishaSasa mbona mtu mzima we mwenzangu unapenda sana starehe
Me muke ya mtu na watoto juu mpaka vijukuu utu uzima huo unakuwaje singleStrees ,Mzee mwenzangu maybe nikipata mwenzangu zitaisha
We hauko na hao?si uko na 45+ km mm?mie ni mlolongo huwezi eka humuMe muke ya mtu na watoto juu mpaka vijukuu utu uzima huo unakuwaje single
Ahahhahaha Youngblood ebu ukuje umsikie slim anavyokuitaHamna mtu. Shunie kuna siku aliniwazia lakini akafurumushwa na yule Mtoto anaembemenda, so dili likafa hapo hapo!
Mwambie amtake radhi babe wanguHahahahaha
Jirani umenishinda tabia
AiseeMe muke ya mtu na watoto juu mpaka vijukuu utu uzima huo unakuwaje single
HahahahahaMwambie amtake radhi babe wangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana yani.Hamna mtu. Shunie kuna siku aliniwazia lakini akafurumushwa na yule Mtoto anaembemenda, so dili likafa hapo hapo!
Hamna. No one. Si unajua wabunge wananunuliwa pasi na muuzaji, basi na Mimi Sina mnunuzi alievutiwa. Kama bagamoyo slave market nimekosa slave dealer!Daaah
Nani anakuteka Jirani yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ninii sasaAisee
Jirani hukwepo. Ndio nikapatwa na yote haya, laaah yasingetokeaDaaah
Nani anakuteka Jirani yangu