Nzuri ShemHabari ya muda huu wapendwa
TooobaaaHamna. No one. Si unajua wabunge wananunuliwa pasi na muuzaji, basi na Mimi Sina mnunuzi alievutiwa. Kama bagamoyo slave market nimekosa slave dealer!
Yaan atubu kwa magoti jana nilienda pm kumsalimia shem darlingHahahahaha
Jirani ukuje utubu huku
Sa Shunie unabisha nini na uhenga wako, na wewe una bahati WAMA katoka pale ferry, ningekuchoma!Ahahhahaha Youngblood ebu ukuje umsikie slim anavyokuita
Sema Mjukuu wakoMwambie amtake radhi babe wangu
Ahahahhh kwahiyo babe umecheka kuitwa mtoto unayebemendwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana yani.
Nisamehe my neighbor .....Jirani hukwepo. Ndio nikapatwa na yote haya, laaah yasingetokea
Salama young dar es salaam wangu mimiHabari ya muda huu wapendwa
afu mkuu umepotea, nawahesabu watu ote mnaopotea kadri sikukuu inavokaribia![emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana yani.
Hamna magoti bhanaYaan atubu kwa magoti jana nilienda pm kumsalimia shem darling
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema Mjukuu wako
Mkuu Salama kabisa, sijui pande zako na yule bibi ako?Habari ya muda huu wapendwa
Ila atubu na niniiHamna magoti bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi una ninii lakini ebu niache na ubibi wanguMkuu Salama kabisa, sijui pande zako na yule bibi ako?
Na mdomo jamaaniIla atubu na ninii
Nimekusamehe.Nisamehe my neighbor .....
Basi mwambie jirani yako amtake radhi bae wanguNa mdomo jamaani