Acha nikupendee tu ben10wangu mimiNani kasema yuko Makapuku,niko naye hapa namsaidia kukata nyaya... halafu hebu tuache mana jinsi alivyo sichoki hata kumuangalia kikongwe wangu.
AhahhahahWewe cheka tu,... maana mimi mwenyewe kuna muda nawaza halafu najicheka!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yani uzembe tu!,nina kivuli chako ujue
Upoje wewe uzuri young huwa hasikilizi manenoJipe moyo
AhahahhahHahahahaha
Mtumie Shunie hebu, mie nimefunga
SawaUpoje wewe uzuri young huwa hasikilizi maneno
I wish na lako uliopokea kama zawadi kuyoka kwa Youngblood ni miongoniIko poa nipo hapa nashangaa magari ya watu yanavyopita
Navuta picha unavyojilaza kama gogo[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kunicheka Veep kusema sina mauno
Huwa ni msumbufu ukiwepo wewe inakuwa afadhaliUna ninii kwani nilikua namtafuta mie
Sina gari mie zangu kusimamia bomba za mwendokasiI wish na lako uliopokea kama zawadi kuyoka kwa Youngblood ni miongoni
We vuta tu habari ndio hiyo chaliii miguu juuNavuta picha unavyojilaza kama gogo[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ebu acha kumsingizia bae wanguHuwa ni msumbufu ukiwepo wewe inakuwa afadhali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We vuta tu habari ndio hiyo chaliii miguu juu
Ndio maana ukifika kwa bedi unaamua upige staili ya gogo sababu ya uchovuSina gari mie zangu kusimamia bomba za mwendokasi
Hujawahi kumkuta majukwaa mengine ndio maana hutaki kunielewaEbu acha kumsingizia bae wangu
Namkutaga mbona na hana tatizoHujawahi kumkuta majukwaa mengine ndio maana hutaki kunielewa
Ndiwoooo na hiyo si sababu sema mauno yenyewe sina vile vileNdio maana ukifika kwa bedi unaamua upige staili ya gogo sababu ya uchovu
SawaNamkutaga mbona na hana tatizo
Kikubwa ni kufika kunako kibo na mawenzi mengine ni mbwembwe tuNdiwoooo na hiyo si sababu sema mauno yenyewe sina vile vile
Kumbe unajua hiko ndio cha maana sanaKikubwa ni kufika kunako kibo na mawenzi mengine ni mbwembwe tu