[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kila siku yashuka tu, mwisho itafika ben 0
Sasa slim unataka amuendekeze naniUnamuendekeza sana yule bibi!
Mulemule nini[emoji23]Mule mule babe
NdiyoMmmh
Ulienda bebishwa wapi etiMwenzanguuu
Mimi sijatajwa ngoja nipite kimya.!Mkuje sasa tupige soga mnaleta vurugu sana kwenye madarasa ya watu nimeamua kufungua darasa hapa.
Cc.Shunie
Cc.Carba
Cc.Sakayo
Cc.Emmyta
Cc.Ukhuty
Cc.Numbisa
Cc.Youngblood
Cc.Sergio5
Cc.Baily
Cc.Ndula87
Cc.Neybright
Cc.Mwifwa
Na wengine wote mnaopenda story mvurugano.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie nakusikiliza wewe,nataka ufurahi [emoji23] [emoji23]
Niache tu mwenzio nimekufa nimeoza
Kujipigia babe kila sikuMulemule nini[emoji23]
EwaaaaaaKwa style hii! Kweli umekamatika!
Na Mimi nasubiria kukamatika kama hivi!
Hapo sasa ndio shida, mida yako mimi siiwezi kwakweli.Kama kulala tunaondoka wote
Mmh mida yangu haifiki saa 5 ukiona nimevuka saa 5 juwa kuna kituHapo sasa ndio shida, mida yako mimi siiwezi kwakweli.
Yani huyu mwanamke sijui hata amenipa nini wallahKwa style hii! Kweli umekamatika!
Na Mimi nasubiria kukamatika kama hivi!
Ahaha kama kweli vileKujipigia babe kila siku
Ukiona nimepotea ujue kabisa nimezima.Mmh mida yangu haifiki saa 5 ukiona nimevuka saa 5 juwa kuna kitu
Kumbe kuna attendance! Sijawahi kuiona!Mkuje sasa tupige soga mnaleta vurugu sana kwenye madarasa ya watu nimeamua kufungua darasa hapa.
Cc.Shunie
Cc.Carba
Cc.Sakayo
Cc.Emmyta
Cc.Ukhuty
Cc.Numbisa
Cc.Youngblood
Cc.Sergio5
Cc.Baily
Cc.Ndula87
Cc.Neybright
Cc.Mwifwa
Na wengine wote mnaopenda story mvurugano.
Ni mapenzi tu babeYani huyu mwanamke sijui hata amenipa nini wallah
Kweli Hujui ama!Yani huyu mwanamke sijui hata amenipa nini wallah
Babe hujanipa limbwata kweli, mana nyie watoto wa kitanga mko vizuriNi mapenzi tu babe
Mmh kwani ni uongo haujipigiiAhaha kama kweli vile