Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Oops, pole sana brother, mwenyezi mungu akuponye haraka inshallah.Daah. Mkuu Youngblood nimepigwa na Malaria moja matata! Nimekuwa mpole tu hapa kihome home naangalia AZAM COMEDY GALA
Aaamin kaka. Shukrani sanaOops, pole sana brother, mwenyezi mungu akuponye haraka inshallah.
Heri ya mwaka mpya ShemMlale salama ndugu zangu, mwenyezi Mungu atujaalie mwaka 2018 uwe wenye baraka na mafanikio inshallah.
Mkuu zimebaki dk chache tuingie 2918! Usiingie na biff mkuu! Msamehe tuMi nna ugomvi na shunie sijui nani wa kuamua
Asante na kwako pia dada lakeHeri ya mwaka mpya Shem
Mkuu ndio namtafuta tuyamalizeMkuu zimebaki dk chache tuingie 2918! Usiingie na biff mkuu! Msamehe tu
Mkuu ndio namtafuta tuyamalizeMkuu zimebaki dk chache tuingie 2918! Usiingie na biff mkuu! Msamehe tu
MmhMlale salama ndugu zangu, mwenyezi Mungu atujaalie mwaka 2018 uwe wenye baraka na mafanikio inshallah.
Mkuu ndio namtafuta tuyamalizeMkuu zimebaki dk chache tuingie 2918! Usiingie na biff mkuu! Msamehe tu
Me pia shem waneNimekumiss sana Shemela
Ugomvi upii tena huoMi nna ugomvi na shunie sijui nani wa kuamua
Nipo hapaMkuu ndio namtafuta tuyamalize
Mlipe! Bia zake Umekunywa! Kutoa hutoi!Ugomvi upii tena huo
Nashukuru mkuu, habari ya mwaka mpyaHeshima yako mkuu
Nilichelewa HBD nimekuja na zawadi nimekuta nyumbani umefunga..nkajua sababu sikutoa appointment,mzima lakiniNipo hapa
Nashukuru shem, habari yako wewe!Heri ya mwaka mpya Shem
Nini tena, mbona waguna mwanamke
Mkuu nikiona hii Id yako nafurahi sana yani[emoji23] [emoji23]Nilichelewa HBD nimekuja na zawadi nimekuta nyumbani umefunga..nkajua sababu sikutoa appointment,mzima lakini