Stress Free Zone

Nikitumia kifaa kingine zaidi ya hiki nilicho download app ya jf siwezi kutumia ID yangu,maana nywila nimesahau naona bora nije na ID nyingine ambayo taitumia kwenye kifaa chochote chenye access na internet
Kibumbu natamani kungekuwa na huduma ya voice note hivi usichoelewa ni niniii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…