Hapana my dear. Nipo normal. Kuna ka malaria kananipeleka peleka hapa! Naangalia wavunja mbavu AZAM COMEDY GALA![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaan wewe usikute hapo upo kama yule jamaa wa pic uliyoleta wanarecord movie
Kwa Mromboo Je?Sitakiiii
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaan wewe usikute hapo upo kama yule jamaa wa pic uliyoleta wanarecord movie
Kibumbu natamani kungekuwa na huduma ya voice note hivi usichoelewa ni niniiiNikitumia kifaa kingine zaidi ya hiki nilicho download app ya jf siwezi kutumia ID yangu,maana nywila nimesahau naona bora nije na ID nyingine ambayo taitumia kwenye kifaa chochote chenye access na internet
Wala usiniogope,Sijawahi kuvitumia kwa nia mbayaNakuogopa mie
Yaan naona ananichanganyia madesaKibumbu hajakuelewa.
Pole sana hivi mbona hawachekeshi sasaHapana my dear. Nipo normal. Kuna ka malaria kananipeleka peleka hapa! Naangalia wavunja mbavu AZAM COMEDY GALA!
Nimekuelewa dada lake,nadhani kesho tapatikana kwa ID pendwa,ningependa unibatizeKibumbu natamani kungekuwa na huduma ya voice note hivi usichoelewa ni niniii
Hapo sawaKwa Mromboo Je?
Muelezee taratibu tu ataelewaYaan naona ananichanganyia madesa
Au nimekosea young[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sawa youngWala usiniogope,Sijawahi kuvitumia kwa nia mbaya
Nimeshindwa mie we buni lolote tuNimekuelewa dada lake,nadhani kesho tapatikana kwa ID pendwa,ningependa unibatize
Nimeshindwa mie nisaidieMuelezee taratibu tu ataelewa
Mi nimeamua najichekesha mwenyewe hapaPole sana hivi mbona hawachekeshi sasa
Ahsante sana, nashukuru nimeuonaNashukuru mkuu, habari ya mwaka mpya
NzuriNashukuru shem, habari yako wewe!