Wazima kabisa mkuuWazima utokako?
ZitawafikiaWasalimie
Ujenzi huruImani tu hizo
Mvua ilinyesha ikabidi nisubiri jua liwake matope yakauke[emoji125] [emoji125] [emoji125]Yani sijui umepotelea wapi Babe mpaka mafundi wameondoka [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatujambo kabisaJamani kumbe hiki kijiwe bado kipo
Vipi hamjambo wote?
Nzuri mpendwa, unaendeleaje?Hatujambo kabisa
Za wewe
Niko poa sana,sijui weweNzuri mpendwa, unaendeleaje?
Nipo poa kwakweli namshukuru MunguNiko poa sana,sijui wewe
Aisee na mimi nahitaji hiyo hudumaWap naeza pata sehem nzur ya body massage Dar? Msaada