Asanteh dia, Vipi maendeleo yako kwa ujumla? Muda mrefu hatujaonana sijui shida ni niniYes mamy kipo. Karibu sana
Ahahahaaaaaa embu kichangamshe weweKijiwe kimepoa ka uji wa juzi
Itabidi tuanze kuhudhuria mdogomdogo maana sio kwa kupotea huku jamaniNipo kijiwe ndo mmekisaliti kabisa
Asanteh maa tupo pamojaKaribu bwana tujenge kijiwe kwa mara nyingine
HelloKho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho
naona unawaamsha waliolala, hii kitu mwisho 2018 jombaa..wataamka kweli?Hello