Wazima kaka akee za weweWazima humu ndani
Naitoa jaman Mwifwa [emoji134]Sawa
Daaahh!
WoyooooooooooooSikumbuki nakumbuka pamekucha.
Wanakuja mkuu wasubiriWakazi wa kivule wapo humu?????
Hapo sawa, hata nikikuona kwa mbali najua ni Shunie[emoji3] [emoji3]Naitoa jaman Mwifwa [emoji134]
Kisa likesDada ujue kule kwa kina carba hawalali kabisa ujue
Kwasasa ndio umetimiza miaka 13
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] carba umejua kunichekesha mie mbona nipo tuuHalafu yuko wapi huyu wifi yangu?[emoji23][emoji23]
Nimekuja shunie japo kwa kuchelewa, kichwa kichafu ana miaka 13. Sasa msimsogezee miaka mbele jamaniNey ukujeeee
Mambo miss neyNimekuja shunie japo kwa kuchelewa, kichwa kichafu ana miaka 13. Sasa msimsogezee miaka mbele jamani
Poa dingi za kwakoMambo miss ney
Safi umeadimika kijiwenin kulee naona makazi mapya hayaPoa dingi za kwako
Na mimi je ?[emoji120] [emoji120] asante mkuu karibu sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nitaitoa woiiii
Pole sanaJamani leo kisaikolojia sipo sawa,mwanangu kaungua na moto kalazwa hospital ya rufaa mbeya.Nipo mbali na familia kikazi,mpaka kazi ni leo nimeshindwa kuingia
Pole Sana mkuu, la muhimu yupo mikono salama. Ni kuwaombea tu wanaomhudumia ili watende vyema kazi yao!!!!Jamani leo kisaikolojia sipo sawa,mwanangu kaungua na moto kalazwa hospital ya rufaa mbeya.Nipo mbali na familia kikazi,mpaka kazi ni leo nimeshindwa kuingia