Nipo bestAbeeeeeeee
Upo wewe jamani
PoaAhsante sana jamani Sakayo
Baadae bana bado nipo busy kidogo
Mzima mamyNipo best
Mzima wewe?
Nimefichwa wapi ndugu yangu basi tuu siku hizi nimekuwa mzembe sana kuingia hukuMzima mamy
Za kifichwa
Ukiona hivyo jua umri umesogea best!!!!Nimefichwa wapi ndugu yangu basi tuu siku hizi nimekuwa mzembe sana kuingia huku
Ahahahaaaaaa haya banah, nishakaribia mpenziUkiona hivyo jua umri umesogea best!!!!
Karibu tena
Poa poaAhahahaaaaaa haya banah, nishakaribia mpenzi
Shoga nimerudi asante kwa kunikumbukaMkuje sasa tupige soga mnaleta vurugu sana kwenye madarasa ya watu nimeamua kufungua darasa hapa.
Cc.Shunie
Cc.Carba
Cc.Sakayo
Cc.Emmyta
Cc.Ukhuty
Cc.Numbisa
Cc.Youngblood
Cc.Sergio5
Cc.Baily
Cc.Ndula87
Cc.Neybright
Cc.Mwifwa
Na wengine wote mnaopenda story mvurugano.
Aisee.Shoga nimerudi asante kwa kunikumbuka
Usiende huko PM utachomolewa na muosha masufuria [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Jamani nilitingwa maswahiba zangu nimewamis mnoo linamo njoo pm
Nimemimis mnooo marafiki zangu tutakuwa pamoja hivi karibuni mwambie linamo anitafute namtafuta mnooAisee.
Kidogo nikuanzishie siredi ya opresheni mtaa kwa mtaa, kijiji kwa nyumba kumi hadi kata na kisu ili tukupate.
Karibu sana, nilikumiss sana.
Hivi yupo kwanza na masufuria yakeUsiende huko PM utachomolewa na muosha masufuria [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Linamo sijamuona tangu juzi sijui kapotelea wapiNimemimis mnooo marafiki zangu tutakuwa pamoja hivi karibuni mwambie linamo anitafute namtafuta mnoo
Yupo naona kachoka kuchomoa PM ameanza siredi zingine japo zinawalenga wanawake hivyo hivyoHivi yupo kwanza na masufuria yake
Basi ukimuona MPE salamu zangu emmyta sakayo shunie na cab numbis ney na wote nawapendaYupo naona kachoka kuchomoa PM ameanza siredi zingine japo zinawalenga wanawake hivyo hivyo
Kaanzisha uzi huu muda si mrefu
Sentensi bora kumtongoza mwanamke!
Miss u darling [emoji7] [emoji7]Basi ukimuona MPE salamu zangu emmyta sakayo shunie na cab numbis ney na wote nawapenda
nikikuona kamoyo tuliii [emoji7]Woooooooooozaaaaaaaaa [emoji137] [emoji137] [emoji137] jana na leo
Huku poaaaHuku veeep