Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Itakuwa yupo anacheza tatu mzuka[emoji125] [emoji125] [emoji125]Carba yuko apiiiiii Mrs Cole jaman
Jaman ebu akuje anieleweshe na mie kuchezaItakuwa yupo anacheza tatu mzuka[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwa nini? Lkn, kiongozi!Lete mpya jamani Shunie
Naona watu wanaendelea kuingia mitini kama Linamo na dada yangu emmyta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Au kwa sababu vyuma vimekazwa mkulu. Legeza kidogo mkuluu.Busy na ndoa ujue Mwifwa jf ipo tuuu
Tunakupenda pia mpenzi, sijui umefichwa sehemu gani jamani maana sio kwa kuadimika hukoBasi ukimuona MPE salamu zangu emmyta sakayo shunie na cab numbis ney na wote nawapenda
carbamazepineJaman ebu akuje anieleweshe na mie kucheza
Kwa sababu vyuma vimekazaKwa nini? Lkn, kiongozi!
Na wewe mbona umepoteaLinamo mbona huonekani humu?
Ni nini jamaan dada akee[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Japo sio rasmi lkn nipo my kakaKweli kabisa maana ukhuty naye karejea leo
Nipo mpenz majukumu yalinizidia tuTunakupenda pia mpenzi, sijui umefichwa sehemu gani jamani maana sio kwa kuadimika huko
Mabusu ya furaha hayo mpenzNi nini jamaan dada akee
Usijali bana sisi tupoJapo sio rasmi lkn nipo my kaka
Nimemaanisha kupotea jaman usitufanyie hivi ujue tunakumiss sisiMabusu ya furaha hayo mpenz
Linamo mbona huonekani humu?
Bora umwambie kabisa, maana....Nimemaanisha kupotea jaman usitufanyie hivi ujue tunakumiss sisi