Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
Habari wakuu!
Jamani naomba mnipe idea nifanyaje kwa hili lililonikuta. Yaani asubuhi hii nimeenda Atm kutoa hela sasa baada ya hela kutoka nikachukua then nikachukua na risiti. Sasa kutokana na stress nilizokuwa nazo nimechana elfu hamsini nikatupa kwenye dustbin nikijua nachana risiti! Akili imesimama kwa muda wakuu nipeni idea nifanyaje màana hali si hali.
Jamani naomba mnipe idea nifanyaje kwa hili lililonikuta. Yaani asubuhi hii nimeenda Atm kutoa hela sasa baada ya hela kutoka nikachukua then nikachukua na risiti. Sasa kutokana na stress nilizokuwa nazo nimechana elfu hamsini nikatupa kwenye dustbin nikijua nachana risiti! Akili imesimama kwa muda wakuu nipeni idea nifanyaje màana hali si hali.