Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Kumekuwa na imani kuwa vidonda vya tumbo husababishwa kwa kiasi fulani na stress za maisha na msongo wa mawazo . Hili jambo si kweli.
Stress zinazosababisha vidonda vya tumbo ni pyhsiological stress, hii ni stress inayotokea pale mwili unaposhindwa kufanya kazi vizuri. Mara nyingi hii hutokea kwa wagonjwa mahututi.
Asilimia kubwa ya vidonda vya tumbo husababishwa na bacteri wa H. Pylori. Hawa huambukizwa kwa kula vyakula vichafu(vilivyochanganywa na kinyesi).
Asilimia 90 ya wagonjwa wa vidonda vya tumbo hupata kwa njia hii. Na hivi vipo sana mjini sababu tunakula sana kachumbari zilizotengenezwa na watu waliochambia mikono na kushindwa kunawa vizuri au kujisanitize.
Stress zinazosababisha vidonda vya tumbo ni pyhsiological stress, hii ni stress inayotokea pale mwili unaposhindwa kufanya kazi vizuri. Mara nyingi hii hutokea kwa wagonjwa mahututi.
Asilimia kubwa ya vidonda vya tumbo husababishwa na bacteri wa H. Pylori. Hawa huambukizwa kwa kula vyakula vichafu(vilivyochanganywa na kinyesi).
Asilimia 90 ya wagonjwa wa vidonda vya tumbo hupata kwa njia hii. Na hivi vipo sana mjini sababu tunakula sana kachumbari zilizotengenezwa na watu waliochambia mikono na kushindwa kunawa vizuri au kujisanitize.