M massaweh New Member Joined Aug 19, 2019 Posts 1 Reaction score 0 Aug 19, 2019 #1 Naomba ushauri jinsi y kuondokan n msongo wa mawazo
Kamwene kamwene JF-Expert Member Joined Jul 7, 2019 Posts 1,159 Reaction score 2,601 Aug 19, 2019 #2 Unawaza nini kwanza ? Usipende kukaa peke yako kwa muda mrefu Jichanganye na marafiki ndugu majirani.. Nenda misibani au kwenye sherehe ili usiwe mpweke peke yako. Fanya mazoezi hakiksha siku yako inakua na ratiba na unaifata Angalia tv,sikiliza music na cheza ikibidi Kubali yaliyopita yamepita
Unawaza nini kwanza ? Usipende kukaa peke yako kwa muda mrefu Jichanganye na marafiki ndugu majirani.. Nenda misibani au kwenye sherehe ili usiwe mpweke peke yako. Fanya mazoezi hakiksha siku yako inakua na ratiba na unaifata Angalia tv,sikiliza music na cheza ikibidi Kubali yaliyopita yamepita
Carlos The Jackal JF-Expert Member Joined Feb 6, 2017 Posts 25,725 Reaction score 78,589 Aug 19, 2019 #3 massaweh said: Naomba ushauri jinsi y kuondokan n msongo wa mawazo Click to expand... Zungumza na uwapendao. Usikae kivyako vyako. Toka nje tembea furah na kampani yako. Tafuta mtu ambaye unahisi ukimshirkisha utakua umepunguza mzigo !!!
massaweh said: Naomba ushauri jinsi y kuondokan n msongo wa mawazo Click to expand... Zungumza na uwapendao. Usikae kivyako vyako. Toka nje tembea furah na kampani yako. Tafuta mtu ambaye unahisi ukimshirkisha utakua umepunguza mzigo !!!
Mshikemshike JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 421 Reaction score 210 Aug 20, 2019 #4 Ondoka uko ndugu yangu stress sio mzuri ni igonjwa unaokutafuna ndani kwa ndani mwisho wa siku unasababisja maradhi mazito
Ondoka uko ndugu yangu stress sio mzuri ni igonjwa unaokutafuna ndani kwa ndani mwisho wa siku unasababisja maradhi mazito
F franknombo Senior Member Joined Mar 30, 2019 Posts 170 Reaction score 177 Aug 20, 2019 #5 Jaribu kuwashirikisha viongozi wako wa dn tatizo linalokusumbua watakusaidia