NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Kipekee niwapongeze kwa kuwa na familia.
Raha ya familia hunifanya niamini kuwa family is a gift from God na sote tuna responsibility ya kuwajibika kuifanya kuwa sehemu ya pekee kwenye mzunguko wetu wa maisha.......Hongera kwa kuwa na familia
Kuna tendency maarufu sana unakuta mtu anakubalika sana kazini kwa kufanya kazi vizuri sana kazini na kujituma, ni mtu ambae anafahamika na kusifika sana kazini uwezo wake wa hali ya juu katika kutatua matatizo ya wengine maofisini mwao. Utakuta labda ni mchungaji anasifika sana kwa kusuluhisha ndoa za wengine, lakini yeye mwenyewe kwake hali kiwa tofauti au utakuta mtu ni manager mzuri ambae wafanyakazi na watu wote ofisini kwake wanampenda na hawangependa wakati wowote asiwepo....Mtu huyuhuyu ukigeuza upande wa pili utagundua kuwa nyumbani mke/mume na watoto wanatamani hata asirudi.
Utakuta mtu anasifika na wafanyakazi wenzake kuwa mtu mwema sana kwa kuwa huwa anawatoa sana lunch wakati wa kazi au kwa marafiki kwa kuwapiga round sana lakini hajawahi hata siku moja kufanya hivyo kwa mkewe au kwa watoto
Naomba tu nitoe ushauri wangu, PIMA MAFANIKIO YA MAISHA YAKO, KAZI YAKO, BIASHARA YAKO etcetera AT THE LENS OF YOUR FAMILY. Kama unafanikiwa sana kwenye shughuli zako lakini na unasifiwa huko kazini au mtaani lakini nyumbani hali ni tofauti just count yourself as a looser.....
Nakutakia mwisho mwema wa week na familia yako....bila shaka utajitahidi kuhakikisha familia yako inaanza kukuona yule mtu mzuri ambae wafanyakazi wenzako na marafiki kule mitaa ya stool ndefu na kwingineko wanakuona
Raha ya familia hunifanya niamini kuwa family is a gift from God na sote tuna responsibility ya kuwajibika kuifanya kuwa sehemu ya pekee kwenye mzunguko wetu wa maisha.......Hongera kwa kuwa na familia
Kuna tendency maarufu sana unakuta mtu anakubalika sana kazini kwa kufanya kazi vizuri sana kazini na kujituma, ni mtu ambae anafahamika na kusifika sana kazini uwezo wake wa hali ya juu katika kutatua matatizo ya wengine maofisini mwao. Utakuta labda ni mchungaji anasifika sana kwa kusuluhisha ndoa za wengine, lakini yeye mwenyewe kwake hali kiwa tofauti au utakuta mtu ni manager mzuri ambae wafanyakazi na watu wote ofisini kwake wanampenda na hawangependa wakati wowote asiwepo....Mtu huyuhuyu ukigeuza upande wa pili utagundua kuwa nyumbani mke/mume na watoto wanatamani hata asirudi.
Utakuta mtu anasifika na wafanyakazi wenzake kuwa mtu mwema sana kwa kuwa huwa anawatoa sana lunch wakati wa kazi au kwa marafiki kwa kuwapiga round sana lakini hajawahi hata siku moja kufanya hivyo kwa mkewe au kwa watoto
Naomba tu nitoe ushauri wangu, PIMA MAFANIKIO YA MAISHA YAKO, KAZI YAKO, BIASHARA YAKO etcetera AT THE LENS OF YOUR FAMILY. Kama unafanikiwa sana kwenye shughuli zako lakini na unasifiwa huko kazini au mtaani lakini nyumbani hali ni tofauti just count yourself as a looser.....
Nakutakia mwisho mwema wa week na familia yako....bila shaka utajitahidi kuhakikisha familia yako inaanza kukuona yule mtu mzuri ambae wafanyakazi wenzako na marafiki kule mitaa ya stool ndefu na kwingineko wanakuona