Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Zipo habari kuwa mshambuliaji Gwede wa Utopolo amelalamika kufanyiwa mambo ya kishirikina na wenzake kambini na kumfanya aonekane butu, Gwede analia kuwa kwenye mechi haoni vizuri goli, lkn kwenye mazoezi anaona vizuri na anatupia isivyo kawaida.
Jibuni hoja kwann majini FC mna ishu za kipuuzi namna hii.
Jibuni hoja kwann majini FC mna ishu za kipuuzi namna hii.