Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Hujui mpira, unaleta ushabiki Nazi na MaandaziZipo habari kuwa mshambuliaji Gwede wa Utopolo amelalamika kufanyiwa mambo ya kishirikina na wenzake kambini na kumfanya aonekane butu, Gwede analia kuwa kwenye mechi haoni vizuri goli, lkn kwenye mazoezi anaona vizuri na anatupia isivyo kawaida.
Jibuni hoja kwann majini FC mna ishu za kipuuzi namna hii.
huu ni uongo guede hajasema hayoZipo habari kuwa mshambuliaji Gwede wa Utopolo amelalamika kufanyiwa mambo ya kishirikina na wenzake kambini na kumfanya aonekane butu, Gwede analia kuwa kwenye mechi haoni vizuri goli, lkn kwenye mazoezi anaona vizuri na anatupia isivyo kawaida.
Jibuni hoja kwann majini FC mna ishu za kipuuzi namna hii.
muda wake haujafikaJamaa hana bahati tu lakini muda utakujibu..
Uzushi kama uzushi mwingine
Baada ya kuwa mtoa Taarifa feki maarufu za michezo Sasa umejiunga na Kundi la Walozi?Zipo habari kuwa mshambuliaji Gwede wa Utopolo amelalamika kufanyiwa mambo ya kishirikina na wenzake kambini na kumfanya aonekane butu, Gwede analia kuwa kwenye mechi haoni vizuri goli, lkn kwenye mazoezi anaona vizuri na anatupia isivyo kawaida.
Jibuni hoja kwann majini FC mna ishu za kipuuzi namna hii.
We ni sengeremaZipo habari kuwa mshambuliaji Gwede wa Utopolo amelalamika kufanyiwa mambo ya kishirikina na wenzake kambini na kumfanya aonekane butu, Gwede analia kuwa kwenye mechi haoni vizuri goli, lkn kwenye mazoezi anaona vizuri na anatupia isivyo kawaida.
Jibuni hoja kwann majini FC mna ishu za kipuuzi namna hii.
Na anaye post haya mashudu ni popoma mwenye ID nyingiHuwa nawashangaa sana Mods hizi nyuzi za kijinga jinga ni kwanini hamziondoi na zinazidi kuleta ukakasi!.
Huu uzi umejaa Uchongamishi,Uzushi,Uongo,Uzandiki & Unafiki!,Je hii ndiyo ile inaitwa "UTANI WA JADI?".
Nimewahi kuandika hapa Uzi wa Kuwazodoa Makolo baada ya kula na kupigika kipigo kitakatifu kutoka kwa Wanaume wa Shoka Young Africans lakini kwasababu na nyie mods mliumizwa na uzi ule mliamua kunifungia kabisa kushiriki hili jukwaa la Michezo!
Sasa nawaomba Mods mtuondolee huu uzi la sivyo mtakuwa mmeruhusu na mimi kuanzisha nyuzi ambazo bila shaka hamtazivumilia mtanipiga Block!
YinYang
Xyln
Boqin
Mhariri
Diversity