Students from Kenya perform better in Kiswahili than those from Tanzania


Kila lugha ina slang mkuu,,hiyo ndo ishara kuwa lugha inakuwa,,hata kingereza kila uchwao maneno mapya yanibuka..!
 
Kama mtihani ulitungwa na wakenya kwa standard ya kiswahili cha kenya na kusahihishwa na wakenya hakuna mtanzania anayeweza kufaulu kiswahili kile. Walete hao watoto wao waje kufanya mtihani wa kiswahili cha Tanzania pamoja na watoto wa kitanzania then tunaweza kujadili matokeo hapa
 
Haya wazee wa written swahili.. comparison yenyewe iliyofanywa kwa kulinganisha wanaofaulu kiswahili kwenye nchi zote mbili, research ya kijinga kama hiyo anayepoteza muda kufuatilia nani? its obvious mtihani wa mbongo huwezi mpa mkenya akapata hata 10 no offense.. kusema wakenya wako safi kwenye kiswahili z a lie, labda unambie wakenya nlokutana nao mimi wanapewa exception...
 

nimemkumbuka hayati mwalimu saanane,mwalimu wangu wa kiswahili na bingwa wa kuuza machapisho ya somo la kiswahili secondary mbalimbali jijini dsm.hiyo ilikuwa ni mwaka 1998-2002.
 
The sceptics in Tanzania say deeper regional integration leads to other East Africans "stealing" their jobs, and possibly taking away their land.---------------we need solution on this

...out of topic and very stupid
 
Question standard kiswahili ni kipi ambacho kinakubalika na wasomi wa lugha EA na kwengineko?
 
There are about 15 main Swahili
dialects, as well as several pidgin forms
in use. The three most important
dialects are kiUnguja (or Kiunguja),
spoken on Zanzibar and in the
mainland areas of Tanzania; kiMvita (or
Kimvita), spoken in Mombasa and other
areas of Kenya; and kiAmu (or Kiamu),
spoken on the island of Lamu and
adjoining parts of the coast. Standard
Swahili is based on the kiUnguja
dialect.
 

Kuna kiswahili fasaha na kiswahili sanifu, kiswahili fasaha ni kigumu hata watanzania wengi hawakiwezi na wanaokijua kukitumia mi shida,

wanaokiweza ni wale wasomi wa lugha ya kiswahili,
 
Kuna kiswahili fasaha na kiswahili sanifu, kiswahili fasaha ni kigumu hata watanzania wengi hawakiwezi na wanaokijua kukitumia mi shida,

wanaokiweza ni wale wasomi wa lugha ya kiswahili,

Tofauti ni ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…