Study in Pakistan 2014-2015.

Study in Pakistan 2014-2015.

DZUDZUKU

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
3,909
Reaction score
2,115
STUDY IN PAKISTAN 2014 - 2015
The Ministry of Education and Vocational Training has received an official communication from the High Commission of The Islamic Republic of Pakistan in Dar es Salaam, announcing of the availability of opportunities to study in Pakistan Universities at degree level programs for the year 2014 - 2015.

===================

The Ministry of Education and Vocational Training has received an official communication from the High Commission of The Islamic Republic of Pakistan in Dar es Salaam, announcing of the availability of opportunities to study in Pakistan Universities at degree level programs for the year 2014 - 2015.

The admissions for International Students are open now for Fall 2014, and the semester and classes will commence from September 2014.

For detailed information and guidance regarding admission procedure, eligibility criteria, admission schedule and application forms are available at CIIT website www.comsats.edu.pk under the tab/web portal of International Students and flyer for International Student Admission Fall 2014.
Candidates who are ready to study in Pakistan and meet the above mentioned criteria should feel free to apply.
More information, visit MoEVT.
 
Hata iwe napewa kila kitu bure,afghanstan,pakistan,yemen,palestina,iran,iraq,somalia,sudan siwez kusoma
 
pakistan hata nilipwe na mshahara juu siendi ng'o....
 
  • Thanks
Reactions: cpt
ila hivi vigezo vyao hawa MoEVT vinazingua!ma-prof wanazingua balaah.
 
Msihofu jamani, kabla ya kwenda utapata kozi fupi ya jinsi ya kubadili risasi kuwa maji na mabom kuwa popcorn.
 
Ngoja niangalie program zao, ikiwepo ninayoipenda ntaenda kusoma, kufa nini bwana hata ukiwa kitandani unaweza kufa tu, acheni uwoga.
 
Ngoja niangalie program zao, ikiwepo ninayoipenda ntaenda kusoma, kufa nini bwana hata ukiwa kitandani unaweza kufa tu, acheni uwoga.

Hata ivyo sio kila mtu anauwawa, kunawatu wanazeeka palepale.
 
  • Thanks
Reactions: cpt
Wale wa Iringa mnaweza kuomba nafasi hizo!Kuliko kijipiga kamba mwenyewe bora huko kuna watu watawasaidia ninyi mbaki na moja tu- kusoma

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hata iwe napewa kila kitu bure,afghanstan,pakistan,yemen,palestina,iran,iraq,somalia,sudan siwez kusoma

Ukitaka kuipenda Tanzania tembelea nchi zote hizi,. Mimi nimebahatika kutembelea nchi zote hizi ulizotaja kasoro palestina na sudan na nikatokea kuipenda sana nchi yangu na naomba sana Mungu ailinde na awalinde viongozi wake.

Pakistan wakitoa kozi za jeshi au maswala ya kijasusi nitakuwa wa kwanza kuomba wako vizuri sana kwa sector hio. Wanajeshi wake ni warefu sana na wameshiba wanapiga zoezi sana na muda wote wako tayari.
 
Ukitaka kuipenda Tanzania tembelea nchi zote hizi,. Mimi nimebahatika kutembelea nchi zote hizi ulizotaja kasoro palestina na sudan na nikatokea kuipenda sana nchi yangu na naomba sana Mungu ailinde na awalinde viongozi wake.

Pakistan wakitoa kozi za jeshi au maswala ya kijasusi nitakuwa wa kwanza kuomba wako vizuri sana kwa sector hio. Wanajeshi wake ni warefu sana na wameshiba wanapiga zoezi sana na muda wote wako tayari.

Usemacho kuhusu majeshi ya Pakistan ni kweli, nlibahatika kuona mkanda wa mafunzo wa Osama bingwa la Maden mazoezi yale ni balaa.

Hivi wanajeshi wetu wanaenda kujifunza huko?
 
Back
Top Bottom