hello jf
i am wondering if any doctors on the forum know if it is possible for foreigners to enrol in tz universities to study medicine. how much does it cost?
hello jf
i am wondering if any doctors on the forum know if it is possible for foreigners to enrol in tz universities to study medicine. how much does it cost?
kama hukuwahi ingia high school (PCB)unaweza kuwa umesoma diplom za medical assistant, medical lab.sciences, dipl in parmacy ( hizo course zote zinaweza kukusaidia kuingia course ya medicine), kama uko USA unafanya kwanza course ya masaomo ya medicine not much in details nayo huitwa pre-medical na unaweza hitumia hiyo kuingia katika vyuo vya TZ. asante.