Study Tour kwa Mwanza

Ngamba

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2013
Posts
750
Reaction score
151
Napenda kutembelea wafugaji wa kuku, nguruwe na mbuzi walioko Mwanza , so kama wewe ni mfugaji na unaweza nikaribisha nikutembelee naomba contact zako ili tuwasiliane
Asanteni
 
ahahahah mhh study tour kwenye mabanda
ya kuku....zangu????mmmhhhhh!!!!
Unakuja kuchora ramani ww sio
bure.....kwamba mkifika usiku hao kuku
wangu...mtawaanziaaje anziaje kuwatoa
bandani......
Hapa umenoa ama kitu..... #HATUAMINIANI
 
wewe ni nani..? unatokea wapi.?

Ni mtanzania mwenzio kwa sasa namalizia masomo Uganda na mpago wangu,suo kutafuta kuajiriwa ila kujiajiri na hasa katika hizo fan nilizoelezea hapo juu
 
ahahahah mhh study tour kwenye mabanda
ya kuku....zangu????mmmhhhhh!!!!
Unakuja kuchora ramani ww sio
bure.....kwamba mkifika usiku hao kuku
wangu...mtawaanziaaje anziaje kuwatoa
bandani......
Hapa umenoa ama kitu..... #HATUAMINIANI

Usiwe na hofu na kama shida yako ni security kuwa natafuta ramani ya kuiba hao kuku wako, wazo langu ni kupata fursa kujifunza kutoka lwa watu walio na uzoefu, na kama unaona shida mimi kuja kwako sio mbaya kwani silazimishi kumtembelea mtu I can only do that with your consent and willingness to share you experience with me
Take it or live it
 
Mkuu Ngamba umefanikiwa kuanza tour yko...kama umefanikiwa unaonaje ukashare changamoto..!
 
Mkuu Ngamba umefanikiwa kuanza tour yko...kama umefanikiwa unaonaje ukashare changamoto..!

Bado sijaanza maana yaonekana kwa mwanza ni vigumu sana kupata mtu aliyetayari kutembelea mradi wake,na kuona jinsi anavyoendelea na kushea up nd down anazokumbana nazo,

Ila sijakata tamaa najaribu kupanua ziara yangu na kuinclude mikoa ya arusha, dsm and morogoro

Kwani wewe uko wapi mkuu??
 
Mkuu mm niko moro ila nina mikakati ya kufanya tour kama ww ili nijifunze mengi zaidi,,mkuu mm nilianza kufuga kidogo nikiwa moshi ila kwa sasa nimehamia moro hivyo nataka nianze upya..!
 
Unajua mkuu wengi wanaotoa testimony zao humu hawako real.,wachache sana ni wakweli..!!
 
Naweza kukukaribisha shambani kwangu morogoro.nafuga nguruwe!Lakini ni vema ukafunguka zaidi vitu gani unataka kujua!Security concern ni valid.mtu hawezi kukukaribisha kwenye mradi wake bila kujua vema nia yako.
Waweza ni-pm mahitaji yako
 
kWANZA NITEMBELEE OFISINI KWANGU - GREEN HOPE ORGANIZANION - NI NGO; TUKO NYAMAGANA; TUNATOA USHAURI KWA VIJANA BURE.

BAADA YA KUJIRIDHISHA NA MAELEZO YAKO NITAKUKARIBISHA UTEMBELEE BANDA LANGU - KARIBU SANA.
 
kWANZA NITEMBELEE OFISINI KWANGU - GREEN HOPE ORGANIZANION - NI NGO; TUKO NYAMAGANA; TUNATOA USHAURI KWA VIJANA BURE.

BAADA YA KUJIRIDHISHA NA MAELEZO YAKO NITAKUKARIBISHA UTEMBELEE BANDA LANGU - KARIBU SANA.

Asante Sana mkuu nitakuja na tutaongea mangi na natumaini utanisaidia kutimiza lengo langu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…