mtu umeshafika nyumbani kwake anakuona na anakuuliza vipi umefika? unamjibu bado,mtu anaingia duka la dawa na anakuuliza mnauza madawa,unamjibu hapana tunauza spear za magari.Nalog off
Loading...30%
mtu anakuona dirishani ndani ya basi anakuuliza vp unasafiri mjibu hapana napoteza mda tu humu