Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
{1}Mtu anakukuta unafyatua matofali,anakuuliza;naona unafyatua matofali au vipi?,unamjibu;[hapana,ninaoka mikate!]
{2}Mtu anakukuta unavuta sigara,anakuuliza;na wewe unavuta sigara?,unamjibu;[hapana,hii ni chaki inaungua!].>>
{3}Mkeo anakuta namba ya mwanamke mwingine kwenye simu yako,anang'aka;niambie,na huyu ni nani?,unamjibu;[soma jina lake,si limeandikwa hapo!].
Mmekutana njiani...
< Hivi ni wewe au nimekufananisha?
> Itakua ni mimi umenifananisha
< Umepotea sana ndugu yangu,upo kweli?
> Ni kweli nimepotea,ndo naenda kureport polisi wanisaidie kujitafuta
< Mbona una majibu ya kunya hivyo?
> Majibu ya kujamba nimeishiwa yamebaki ya kunya tu
Mtu anafika hospital na kukukuta upo kwenye foleni kisha anakuuliza vp unaumwa? unamjibu hapana nauza sura tu na washkaji hapa..
Safi saaana,qwa qwa qwaaah!
Unamuhuliza mpenzi wako sasa hivi uko wapi" unasikia akijibu kwa ujasiri nipo mbinguni" ehe
A; Nasikia wa Bongo ukiwauliza swali mpaka nao wakuulize hawawezi to jibu, Ni kweli?
B; Wewe nani kakwambia?
Unaangalia soka....mtu anakutxt kuuliza updates. ...unamjibu
bila bila dakika ya 70....
Yeye anauliza tena...kipndi kipi?
Mtu anafika hospital na kukukuta upo kwenye foleni kisha anakuuliza vp unaumwa? unamjibu hapana nauza sura tu na washkaji hapa..
stori zimenoga anakupiga bega anakwambia eeh hee usiniambie! ! huku akikukodolea macho mimi nanyamaza.
Unaangalia soka....mtu anakutxt kuuliza updates. ...unamjibu
bila bila dakika ya 70....
Yeye anauliza tena...kipndi kipi?
Unamjibu ni Isidingo.....
Mtu anakuja kukupokea stend anakuuliza "umerudi??!"...mpe jibu