MPHINGU JF-Expert Member Joined Oct 6, 2016 Posts 518 Reaction score 613 Feb 10, 2017 #1 angalia rais wa kenya anavo onyesha uwezo wake wa kuimba na kucheza mziki wa Kizazi kipya Attachments 16670150_213981102403728_845184147205914624_n.mp4 16670150_213981102403728_845184147205914624_n.mp4 2.4 MB · Views: 30
MOTOCHINI JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 28,064 Reaction score 31,401 Feb 10, 2017 #2 Bamba kura yako!! Kifanyike nje ila kikifanyika Tanzania Inakuwa ndio hoja ya upinzani Kumkosoa Rais!!
Bamba kura yako!! Kifanyike nje ila kikifanyika Tanzania Inakuwa ndio hoja ya upinzani Kumkosoa Rais!!
yolk Senior Member Joined Jan 29, 2017 Posts 137 Reaction score 240 Feb 10, 2017 #3 Nimeipenda bure! Maana wa kwetu sisi alipiga Push-ups jukwaani..! Kenyata anaendeleza tu mahali ambapo wa kwetu aliishia
Nimeipenda bure! Maana wa kwetu sisi alipiga Push-ups jukwaani..! Kenyata anaendeleza tu mahali ambapo wa kwetu aliishia
MKWEPA KODI JF-Expert Member Joined Nov 28, 2015 Posts 28,701 Reaction score 71,056 Feb 10, 2017 #4 Anacheza vizuri sana, huku kwetu tungeona pushups za kufa mtu, utafikiri tunachagua baunsa
bananga JF-Expert Member Joined Oct 2, 2013 Posts 659 Reaction score 333 Feb 10, 2017 #5 MOTOCHINI said: Bamba kura yako!! Kifanyike nje ila kikifanyika Tanzania Inakuwa ndio hoja ya upinzani Kumkosoa Rais!! Click to expand... Watamkosoa wenyewe huko Kenya sisi hayatuhusu Tunaangalia tu video tunaburudika na kusepa
MOTOCHINI said: Bamba kura yako!! Kifanyike nje ila kikifanyika Tanzania Inakuwa ndio hoja ya upinzani Kumkosoa Rais!! Click to expand... Watamkosoa wenyewe huko Kenya sisi hayatuhusu Tunaangalia tu video tunaburudika na kusepa
Toxic Concotion JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 5,760 Reaction score 20,837 Feb 10, 2017 #6 Nini cha ajabu sasa? Wa kwetu alipiga push up kama bondia cheka