Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,829
Nakumbuka miaka hiyo style ya Afro ilibamba sana mitaani,na watu walikuwa wanapendeza sana yani kitu natural hair,
Lakini sahizi hao wenye style za afro wanaweka dawa nywele mwanaume mzima nywele kama kalamba mbwa bwana,
wengine viduku kama yule jogoo kishingo aliyenyonyoka manyoya,mi nachoka kabisa...
Style gani nyingine inayoikubali sana na wale wanaozikataa na kuchukia?
Lakini sahizi hao wenye style za afro wanaweka dawa nywele mwanaume mzima nywele kama kalamba mbwa bwana,
wengine viduku kama yule jogoo kishingo aliyenyonyoka manyoya,mi nachoka kabisa...
Style gani nyingine inayoikubali sana na wale wanaozikataa na kuchukia?