Ndugu yangu, labda kiswahili kinanisumbua, lakini naomba unifafanulie maana ya neno bazazi na kwa nini umeamua kuniita hivyo?
Inaonekana unachanganya mambo kwa sababu unaniweka kana kwamba nilisema kwua nilikwenda kwenye warsha au semina, sikumbuki kulisema hilo!
Ndugu yangu, labda kiswahili kinanisumbua, lakini naomba unifafanulie maana ya neno bazazi na kwa nini umeamua kuniita hivyo?
Inaonekana unachanganya mambo kwa sababu unaniweka kana kwamba nilisema kwua nilikwenda kwenye warsha au semina, sikumbuki kulisema hilo!