vunjajungu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 576
- 242
ume register chuo,ukakubaliwa,umesoma semister nzima,umefanya u.e,matokeo yametoka umefaulu,then unaambiwa umedisco sababu hujalipa ada?isitoshe ni chuo cha serikali(sua).
wenye uelewa juu ya hili msaada tafadhali.
updates
badala ya kudisco mwanafunzi anatakiwa kurudia semister husika.na kosa kubwa ni kwamba wanafunzi walilipa ada baada ya system ya kusajili kufungwa.
wenye uelewa juu ya hili msaada tafadhali.
updates
badala ya kudisco mwanafunzi anatakiwa kurudia semister husika.na kosa kubwa ni kwamba wanafunzi walilipa ada baada ya system ya kusajili kufungwa.