Sua science inakuhusu

Joined
Sep 4, 2013
Posts
55
Reaction score
7
Vp wanajukwaa General Agric Vs Agronomy ipi ni nzuri na ukisoma waweza angalau kucema science inafaida.Ni mdogo wenu naomba ushauri mwakani naaply.Be blessed!!
 
Vp wanajukwaa General Agric Vs Agronomy ipi ni nzuri na ukisoma waweza angalau kucema science inafaida.Ni mdogo wenu naomba ushauri mwakani naaply.Be blessed!!
General Agriculture inalipa but Agronomy inalipa sana and iko tait I mean shule yake ukicheza una-graduate 1[SUP]st[/SUP] or 2[SUP]nd[/SUP] year.
 
Vp wanajukwaa General Agric Vs Agronomy ipi ni nzuri na ukisoma waweza angalau kucema science inafaida.Ni mdogo wenu naomba ushauri mwakani naaply.Be blessed!!

zote zinawakilisha application ya science but kama unataka uwe mzuri kwenye research za kilimo chukua agronomy
 
General Agriculture inalipa but Agronomy inalipa sana and iko tait I mean shule yake ukicheza una-graduate 1[SUP]st[/SUP] or 2[SUP]nd[/SUP] year.

nimekupenda sua ghafla kumbe unamaliza chuo mapema hivo! mi niko ud ntafanya process nihamie uko maana hapa tunasoma 4yrs.
 
nimekupenda sua ghafla kumbe unamaliza chuo mapema hivo! mi niko ud ntafanya process nihamie uko maana hapa tunasoma 4yrs.

Nenda ukaliwe kichwa.......kugraduate 1st or 2nd yr anamaanisha kufeli kama nia yako unataka hivyo wanakukaribisha.
 
Nenda ukaliwe kichwa.......kugraduate 1st or 2nd yr anamaanisha kufeli kama nia yako unataka hivyo wanakukaribisha.

Hivi kwa nin kila Mgeni akiuliza ki2 Sua lazma ambiwe kuliwa kichwa,oh pagumu! 1st na 2nd ndo utaishia hapo,Hiv watu hawa malizi hicho chuo mi napataka sana hapo ili Nipate taaruma ya kweli ciyo mezani kama vyuo vya kata hiv
 
Nenda ukaliwe kichwa.......kugraduate 1st or 2nd yr anamaanisha kufeli kama nia yako unataka hivyo wanakukaribisha.

acha kutishia halafu napataka Sua sana ungejua kwan hawamalizi hapo na Muhibili watasemaje?
 
acha kutishia halafu napataka Sua sana ungejua kwan hawamalizi hapo na Muhibili watasemaje?

May be you get me wrong bro!, sijasema wala sijamaanisha kuwa SUA ni pagumu pia siwatishi watu wasiende hapo maana mimi huwa napenda napomuona mtu anakuwa na kiu ya kusoma kwa maana hiyo sipendi kumkatisha mtu tamaa, huwa naamini kila kitu kinawezekana panapokuwa na nia.

Nilikuwa najaribu kumuelezea maana ya ku-graduate 1st au 2nd year. Isitoshe mimi sio mshabiki wa vyuo bali ni mshabiki wa manufaa ya kile mtu anachokipata kutoka katika Chuo na manufaa hayo utayaona kwa kuangalia contribution au msaada wa maarifa aliyoyapata mtu jinsi yanavyosaidia jamii kwa ujumla kutokana na elimu aliyoipata kutoka katika Chuo husika.

Nakutakia mafanikio mema kama una mpango wa kwenda kusoma huko SUA na hakikisha unaenda kuitafuta elimu ili ikusaidie. Vile vile huwezi kufananisha elimu ya Muhimbili na SUA kwa maana fani zinazofundishwa katika vyuo huvyo viwili ni tofauti na ugumu pia utakuwa wa tofauti.

Unapatamani SUA, unamaana kwamba hata Chuo kwenyewe hujakanyaga bado kelele zote hizo za nini?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…