Sua tutakufa na njaa

Hii serikal yetu kwel poor,tabia ztazuka na matukio mabaya vyuon..,ie.wizi,kujiuza wadada zetu na zngnezo.Bora wangetoa taarfa mapema boom la mwsho ltachelewa watu watafute altenatv mapema.MWUCE uku vjana wamebanwa na assgments na test kbao.kupga pasi ndefu tushazoea ila cyo maisha ndgzangn inabd HESLB ichukue atua mapenda.
 
Jaman wakubwa huko juu niaje nnatuliza matumbo yenu sisi tunakufa njaa hapa Teofilo kisenge university(TEKU) mbeya

We kijana unapaswa kua na adabu zaidi ya hapo, hata kama unapitia katika kipindi kigumu namna gani maishani
 
Sokoine University of Assignment (SUA).
80% ya wanafunzi wa SUA-SUA ni kutoka familia masikini, 15% ni inservise na 5% ni foreigner (most from Mozambiq). Haya gomeni sasa wakulima nyinyi muone balaa lake.
You cant be serious. mfyuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!
 
Hiki ni chuo kikuu cha kilimo cha zaidi ya miaka 30, lkn leo wanasema watakufa na njaa. Wana maeneo makubwa sana ila hayalimwi ni mpango ya chatu, kunguru etc. Kuna ma-professa wengi sana hapa, eti wanataka pesa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…