Taarifa hii ni kutoka Azam TV siku ya jumapili.
Chuo Cha SUA wameweza kuanzisha teknolojia ya mimea inayopandwa shambani na kuweza kuzalisha nyama inayoweza kuliwa na mwanadamu, mhariri wa taarifa hii ni Claud Mshana kutoka Azam TV.
Wataalam njooni mtuambie hiyo inakuwa ni nyama au mbogamboga
Pia soma:Matumizi ya nyama za maabara (Hazitoki kwa mnyama) yaidhinishwa Singapore
Chuo Cha SUA wameweza kuanzisha teknolojia ya mimea inayopandwa shambani na kuweza kuzalisha nyama inayoweza kuliwa na mwanadamu, mhariri wa taarifa hii ni Claud Mshana kutoka Azam TV.
Wataalam njooni mtuambie hiyo inakuwa ni nyama au mbogamboga
Pia soma:Matumizi ya nyama za maabara (Hazitoki kwa mnyama) yaidhinishwa Singapore