Majuu sasa hivi kuna vyakula vingi tu, hata burgers za watu wasiokula nyama. Ni mboga na siyo nyama. BTW kitu kinachofanywa na watu kutoka nchi ambayo imeshindwa kila kitu duniani kasoro ngono na ubishani wa kandanda siyo cha kuaminika.Taarifa hii ni kutoka Azam TV siku ya jumapili.
Chuo Cha SUA wameweza kuanzisha teknolojia ya mimea inayopandwa shambani na kuweza kuzalisha nyama inayoweza kuliwa na mwanadamu, mhariri wa taarifa hii ni Claud Mshana kutoka Azam TV.
Wataalam njooni mtuambie hiyo inakuwa ni nyama au mbogamboga
Hii ni tech ya zamani na ilianzia huko China.. Tumezila sana hizo nyama bandiaTaarifa hii ni kutoka Azam TV siku ya jumapili.
Chuo Cha SUA wameweza kuanzisha teknolojia ya mimea inayopandwa shambani na kuweza kuzalisha nyama inayoweza kuliwa na mwanadamu, mhariri wa taarifa hii ni Claud Mshana kutoka Azam TV.
Wataalam njooni mtuambie hiyo inakuwa ni nyama au mbogamboga
Na umebaki salama kiafya ?Hii ni tech ya zamani na ilianzia huko China.. Tumezila sana hizo nyama bandia
Mkuu hizi nimekula Kwa wasabato miaka mingi kidogo iliyopita.Na umebaki salama kiafya ?
Waharibifu sanaMkuu hizi nimekula Kwa wasabato miaka mingi kidogo iliyopita.
Hapo SUA ni waongo hawajagundua chochote walichoongeza wao ni chemicals hawana lolote. Wapuuzwe na Kila mtu
Zile hazina madhara hata kidogo maana ninafaka fln fln wanachanganya.
Hicho chuo kina mambo sana
Hiki chuo hakijawahi kutupa faida yoyote watanzania.Waharibifu sana
Wameharibu sana matunda, siku hizi mapera, maembe, mastafeli nk yanaliwa na wadudu vibaya mno
πHiki chuo hakijawahi kutupa faida yoyote watanzania.
Kuna Uzi humu niliwahi soma jamaa alikuwa anasoma hapo Cha ajabu alichoona ma professor wao Wamefungua bar tupu kuhusu hata ufugaji ama kilimo hawana habari.
100% factsπ
Nyama ina umbo gani?Vegetarians, kazi kwenu kula mipapai yenye umbo la nyama.
#mishkakiyambao
Chungulia buchani mkuu.Nyama ina umbo gani?
Nenda kawaambie waache uongo wao. Wasituone wajingaTaarifa hii ni kutoka Azam TV siku ya jumapili.
Chuo Cha SUA wameweza kuanzisha teknolojia ya mimea inayopandwa shambani na kuweza kuzalisha nyama inayoweza kuliwa na mwanadamu, mhariri wa taarifa hii ni Claud Mshana kutoka Azam TV.
Wataalam njooni mtuambie hiyo inakuwa ni nyama au mbogamboga
Pia soma:Matumizi ya nyama za maabara (Hazitoki kwa mnyama) yaidhinishwa Singapore