Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake

Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake

Unavoidable Servant

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2021
Posts
1,728
Reaction score
4,545
Haikubaliki na wala hatuwezi kukaa kimya mpaka leo bila Polisi kuueleza umma hao vijana wavuta bangi wameshakamatwa au bado?

Ushahidi upo wazi na sura zao zinaonekana, maana yake wote wanajurikana, mfumo wa dola Tanzania unaanzia kwa wajumbe wa nyumba 10 wanawatambuwa watu wao.

Kuchakata taarifa za kukamata wahuni kama hawa ni kazi ya masaa tu tena chini ya masaa 24.

Nawauliza Polisi kwa nini wanaofanya makosa kama yule wa kuchoma moto picha ya Rais wanakamatwa haraka na wanahukumiwa haraka?

Tunaomba Rais aingilie kati hili tena Rais ni wa jinsia ya kike alipe masaa 24 jeshi la Polisi kuhakikisha umma wa Watanzania unapewa taarifa za kukamatwa kwao na kufikishwa mahakamani waende jela, hawastahili kuishi uraiani hao kabisa.

Nimemaliza.

Pia soma
 
Haikubaliki na wala hatuwezi kukaa kimya mpaka leo bila Polisi kuueleza umma hao vijana wavuta bangi wameshakamatwa au bado?

Ushahidi upo wazi na sura zao zinaonekana, maana yake wote wanajurikana, mfumo wa dola Tanzania unaanzia kwa wajumbe wa nyumba 10 wanawatambuwa watu wao.

Kuchakata taarifa za kukamata wahuni kama hawa ni kazi ya masaa tu tena chini ya masaa 24.

Nawauliza Polisi kwa nini wanaofanya makosa kama yule wa kuchoma moto picha ya Rais wanakamatwa haraka na wanahukumiwa haraka?

Tunaomba Rais aingilie kati hili tena Rais ni wa jinsia ya kike alipe masaa 24 jeshi la Polisi kuhakikisha umma wa Watanzania unapewa taarifa za kukamatwa kwao na kufikishwa mahakamani waende jela, hawastahili kuishi uraiani hao kabisa.

Nimemaliza.

Pia soma
Kuna tatizo la kuoza kwa mifumo ya Haki Jinai nchini Tanzania.
Ukisikia 'failed State' ndio hii.

Anyway, watu wale baadhi yao sura zao zinatambulika kabisa. Jeshi la Polisi Kama kweli liko serious kabisa linawatafuta Basi watoe taarifa rasmi ya tangazo la kuwatafuta Watu hao, tangazo liambatane na picha za Wahusika wanaotafutwa na Jeshi hilo.
Unless otherwise, naona kama Jeshi hilo linafanya ngonjera na michezo ya kuigiza tu.
 
Boss aliyeagiza kufanyika Kwa TUKIO unaambiwa ni captain huko jeshini, kwahyo usishangae mkono wa kulindana umeshaingizwa, Tz huna kitu huna haki.

Kwahyo hicho kitabaki kama kilio Cha samaki.
Itoshe kusema Africa tuna safari ndefu sana, hili TUKIO lingetokea nchi za wenzetu lisingechukua hata masaa matatu coz wapo active Hamna mambo ya kuangaliana usoni.

Video za TUKIO zipo(evidence)
Binti aliyefanyiwa TUKIO yupo(evidence)
Still police wanaomba msaada Kwa raia wema😂 inachekesha ila Ina umiza.
 
Boss aliyeagiza kufanyika Kwa TUKIO unaambiwa ni captain huko jeshini, kwahyo usishangae mkono wa kulindana umeshaingizwa, Tz huna kitu huna haki.

Kwahyo hicho kitabaki kama kilio Cha samaki.
Itoshe kusema Africa tuna safari ndefu sana, hili TUKIO lingetokea nchi za wenzetu lisingechukua hata masaa matatu coz wapo active Hamna mambo ya kuangaliana usoni.

Video za TUKIO zipo(evidence)
Binti aliyefanyiwa TUKIO yupo(evidence)
Still police wanaomba msaada Kwa raia wema😂 inachekesha ila Ina umiza.
Ni kituko Cha Karne!
 
Wakuu msitembee na wake za watu,……!”Mabintii msitembee na waume za watuu……. Kila mtu awe safe kwa upande wake
Kwa hiyo, huyo Binti ndiye anayemgharamia huyo Mume wa mtu! Wewe kama mkeo sio muaminifu achana naye. Kwani ukiua mwanaume mmoja, atapata mwanaume mwingine, je, na huyo utaua pia!? Mwishoni utaua wangapi!?
 
Kwa hiyo, huyo Binti ndiye anayemgharamia huyo Mume wa mtu! Wewe kama mkeo sio muaminifu achana naye. Kwani ukiua mwanaume mmoja, atapata mwanaume mwingine, je, na huyo utaua pia!? Mwishoni utaua wangapi!?
Exactly
 
ukitaka kujua nchi yetu ni kijuha sijaona sababu ya Polisi kuhangaika kwa sababu ilikua ni rahisi wanamfikia binti aliyetendewa ukatili kisha binti ataeleza jina la huyo mume wa afande kazi inakua rahisi. mume wa afande anatafutwa kupitia yeye anakamatwa mke wake.
 
tunawasema vijana hawana maadili ukweli ni kwamba watu wazima hasa wenye mamlaka ndio hawana maadili na wapumbavu namba moja hapo ukimani
 
Back
Top Bottom