Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 24
Tujiulize haraka haraka...je nini kifanyike kuweza kupata pesa zote zinazohitajika kila mwaka kwa miaka 10 ijayo....tutembeze bakuli au twaweza kwa hela za kodi yetu tu???baada hapo hoja ipelekwe bungeni
Tujiulize haraka haraka...je nini kifanyike kuweza kupata pesa zote zinazohitajika kila mwaka kwa miaka 10 ijayo....tutembeze bakuli au twaweza kwa hela za kodi yetu tu???baada hapo hoja ipelekwe bungeni