Suala la Jamal Malinzi na Damas Ndumbaro limefikia wapi?

tracy martins

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2014
Posts
3,535
Reaction score
1,482
Habari zenu wakuu,

Uongozi wa TFF chini ya jamal malinzi umemfungia ndumbaro kwa miaka saba, Dkt. Ndumbaro amelipinga hilo na amekata rufaa, naomba status kuhusu hili suala, mbona kimya saana?
 
Ukweli kiasi umeanza kuonekana malinzi alikuwa mtu hatari sana hiki kipindi sio poa sana kwa kuunda dili na kutengeneza zengwe kwa wenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…