Suala la Kibu Dennis na Fifa ranking, tutakoswa adhabu kweli?

Suala la Kibu Dennis na Fifa ranking, tutakoswa adhabu kweli?

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Jamaa alicheza mechi ya kirafiki na Malawi akatoa assist moja, akangushwa na kusababisha foul iliyozaa goal, tukawapiga malawi goal 2 ikasaidia kidoogo kupanda ranks za Fifa

Jamaa kacheza huko ngara kacheza Geita Gold, Mbeya City akiwa kama Mtanzania baada ya kufika simba anaambiwa siyo Mtanzania

Hivi hata kama ile gemu na Malawi ilikuwa ya kirafiki ina maana Fifa hawawezi iadhibu hii nchi? inaruhusiwa labda kwa mfano kwenda kuchukua wachezaji wa brazil wakachezea taifa stars kwenye mechi ya kirafiki iliyo kwenye kalenda ya FIFA?

Sina hakika ila nahisi kuna namna itabidi tupate adhabu
 
Kwan kuna nini?

Mbona mnatuchanganya na TFF

Kuna dhambi gani, mchezaji wa nje, kua mtanzia, akacheza?
 
Kwan kuna nn???

Mbona mnatuchanganya na TFF

Kuna dhambi gan, mchezaji wa nje, kua mtanzia, akacheza???
Baada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
 
Baada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
Watapigwa visu kwa ushetani wao, Hawa so ndio wanavunjaga ndoa za watu wa bongo fleva?
 
Baada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
Aahh kwani kuwa Mtanzania mwenye asili ya Urundi ni dhambi?

Kwan Uraia wa Tanzania unapatikana kwa njia gan?

Yaan Kibu toka anaanza kusakata Ball nchi hii, vyeti vyake vya kuzaliwa vinasomekaje?
 
Aahh kwan Kua mtanzania mwenye asili ya Urundi ni dhambi???

Kwan Uraia wa Tanzania unapatikana kwa njia gan?...
Kote Geita gold, mbeya city, taifa stars kacheza kama Mtanzania, Utanzania wake ulikoma baada aya kusajiliwa simba, kila siku nasema mafanikio ya simba ya miaka 4 ni kosa kubwa sana waliowahi kulifanya mwaka huu vita viko kila upande bado kulipua tu kambi pale wachezaji wafe wote
 
Watapigwa visu kwa ushetani wao, Hawa so ndio wanavunjaga ndoa za watu wa bongo fleva?
Acheni hizo plan za kutaka kukodi vibaka wa kuwashambulia chezeni mpira huo umafia nendeni msumbiji huko vitani mkaufanyie huko
 
Baada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
Na tutawaua kweli
 
Ni ishara kwamba Manyani SC mmeona hamna uwezo wa kubeba ubingwa bila kuwafanyia hujuma wachezaji wa Simba.Si ndio we Yanga Princess?
Hivi unadhani natania kama mchezaji ambaye tayari keshacheza top level for 3 years na team ya taifa leo anaambiwa siyo raia kisa simba unadhani hawa jamaa wanatania?

FOR HOOKS OR CROOKS watafanya lolote lile wameumia sana miaka 4 they are confused.
 
Baada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
Sasa kama ni raia kweli wa Burundi tatizo liko wapi? Si mumtafutie vibali halali vya kuishi nchini ili aendelee kuwatumikia!!
 
Hivi unadhani natania kama mchezaji ambaye tayari keshacheza top level for 3 years na team ya taifa leo anaambiwa siyo raia kisa simba unadhani hawa jamaa wanatania? FOR HOOKS OR CROOKS watafanya lolote lile wameumia sana miaka 4 they are confused.
Mi nashauri uongozi wa Simba uamke na ushughulikie 'uhaini' huo unaopangwa na manyani.

Zile rafu za leo zilikuwa na maelekezo maalumu.Mashabiki na uongozi wa Simba tuchukue hatua mapema kwa mustakabali wa wachezaji wetu.
 
Mi nashauri uongozi wa Simba uamke na ushughulikie 'uhaini' huo unaopangwa na manyani.

Zile rafu za leo zilikuwa na maelekezo maalumu.Mashabiki na uongozi wa Simba tuchukue hatua mapema kwa mustakabali wa wachezaji wetu.
Hapo ni milioni 15 mafioso wataanza kumwaga milioni 100 ili ligi ikiisha team nzima ya simba wawe vilema, hawana namna nyingine tena zaidi ya umafia
 
Back
Top Bottom