CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Baada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaaniKwan kuna nn???
Mbona mnatuchanganya na TFF
Kuna dhambi gan, mchezaji wa nje, kua mtanzia, akacheza???
Watapigwa visu kwa ushetani wao, Hawa so ndio wanavunjaga ndoa za watu wa bongo fleva?Baada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
Aahh kwani kuwa Mtanzania mwenye asili ya Urundi ni dhambi?Baada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
Kote Geita gold, mbeya city, taifa stars kacheza kama Mtanzania, Utanzania wake ulikoma baada aya kusajiliwa simba, kila siku nasema mafanikio ya simba ya miaka 4 ni kosa kubwa sana waliowahi kulifanya mwaka huu vita viko kila upande bado kulipua tu kambi pale wachezaji wafe woteAahh kwan Kua mtanzania mwenye asili ya Urundi ni dhambi???
Kwan Uraia wa Tanzania unapatikana kwa njia gan?...
Acheni hizo plan za kutaka kukodi vibaka wa kuwashambulia chezeni mpira huo umafia nendeni msumbiji huko vitani mkaufanyie hukoWatapigwa visu kwa ushetani wao, Hawa so ndio wanavunjaga ndoa za watu wa bongo fleva?
Simba mdebwedoAcheni hizo plan za kutaka kukodi vibaka wa kuwashambulia chezeni mpira huo umafia nendeni msumbiji huko vitani mkaufanyie huko
Sawa uko sahihi kabisa ila plan zenu za kutaka kuwadhuru kina manula nje ya uwanja acheni jamaniSimba mdebwedo
Na tutawaua kweliBaada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
Na tutawaua kweliSawa uko sahihi kabisa ila plan zenu za kutaka kuwadhuru kina manula nje ya uwanja acheni jamani
wana familia zao mkuu zinawategemea , basi atleast ongezeni hela huko mikoani mkimwaga hata milioni 100 badala ya 15 kila mechi at least kila mechi wachezaji wawili wa simba watakuwa vilema, think about it, hiyo plan ya kuwadhuru nje ya uwanja ime cross the line unaonaje?Na tutawaua kweli
Ni ishara kwamba Manyani SC mmeona hamna uwezo wa kubeba ubingwa bila kuwafanyia hujuma wachezaji wa Simba.Si ndio we Yanga Princess?Na tutawaua kweli
Hivi unadhani natania kama mchezaji ambaye tayari keshacheza top level for 3 years na team ya taifa leo anaambiwa siyo raia kisa simba unadhani hawa jamaa wanatania?Ni ishara kwamba Manyani SC mmeona hamna uwezo wa kubeba ubingwa bila kuwafanyia hujuma wachezaji wa Simba.Si ndio we Yanga Princess?
Sasa kama ni raia kweli wa Burundi tatizo liko wapi? Si mumtafutie vibali halali vya kuishi nchini ili aendelee kuwatumikia!!Baada ya kusajiliwa simba imeibuka fitna kwamba Kibu ni mburundi ,ndiyo maana hachezi hadi sasa na kocha wa stars analalmika anasema anamuhitaji sana, simba imepaniwa kila kona soon utasikia wachezaji wetu wanapigwa visu mitaani
Okay, kule uhamiaji mmemwaga sh ngapi?Sasa kamani raia kwelinwa Burundi tatizo liko wapi? Si mumtafutie vibali halali vya kuishi nchini ili aendelee kuwatumikia!!
Tutachukua ubingwa kwa namna yeyote ileNi ishara kwamba Manyani SC mmeona hamna uwezo wa kubeba ubingwa bila kuwafanyia hujuma wachezaji wa Simba.Si ndio we Yanga Princess?
Mi nashauri uongozi wa Simba uamke na ushughulikie 'uhaini' huo unaopangwa na manyani.Hivi unadhani natania kama mchezaji ambaye tayari keshacheza top level for 3 years na team ya taifa leo anaambiwa siyo raia kisa simba unadhani hawa jamaa wanatania? FOR HOOKS OR CROOKS watafanya lolote lile wameumia sana miaka 4 they are confused.
Labda kwa kuliiba kombe.Tutachukua ubingwa kwa namna yeyote ile
Hapo ni milioni 15 mafioso wataanza kumwaga milioni 100 ili ligi ikiisha team nzima ya simba wawe vilema, hawana namna nyingine tena zaidi ya umafiaMi nashauri uongozi wa Simba uamke na ushughulikie 'uhaini' huo unaopangwa na manyani.
Zile rafu za leo zilikuwa na maelekezo maalumu.Mashabiki na uongozi wa Simba tuchukue hatua mapema kwa mustakabali wa wachezaji wetu.