Suala la kujiuzulu Tanzania

Suala la kujiuzulu Tanzania

MWALLA

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2006
Posts
16,952
Reaction score
10,500
Suala hili la kujiuzulu haswa katika nyadhifa za utawala ndani ya sirikale ya CCM. Hili limekuwa ni mwiba mkali sana kwao maana kila linapotkea jambo lisilokuwa na mashiko na ikatokea shinikizo dhidi ya mhusika kutakiwa kujiuzulu linakuwa ni jambo zito mno haswa kwa viongozi wa sirikale.

Mfano halisi ni pale Ndugai alipotakiwa kujiuzulu ilichukuwa muda na hatimae baada ya shinikizo kutoka juu kule juu mnakokuita wenyewe ndio utamuona mwenye kutakiwa kujiuzulu ndio atatoka mbio kukurupuka na kutoa waraka wa kujiuzulu.

Ukitizama kwa ndani zaidi unagundua hakujiuzulu yeye kama yeye bali ni baada ya shinikizo kutoka juu. huu sii uungwana hatta kidogo.

Tujifunze kuchukua hatua kutoka kwa wenzetu huku wanavyoona kuwa wamekosea basi hawapotezi muda sana na hatimae wanachukua hatua maramoja bila kushinikizwa.



 
Huku ni wananchi ndo wanatakiwa wahamie burundi...
 
Suala hili la kujiuzulu haswa katika nyadhifa za utawala ndani ya sirikale ya CCM. Hili limekuwa ni mwiba mkali sana kwao maana kila linapotkea jambo lisilokuwa na mashiko na ikatokea shinikizo dhidi ya mhusika kutakiwa kujiuzulu linakuwa ni jambo zito mno haswa kwa viongozi wa sirikale.

Mfano halisi ni pale Ndugai alipotakiwa kujiuzulu ilichukuwa muda na hatimae baada ya shinikizo kutoka juu kule juu mnakokuita wenyewe ndio utamuona mwenye kutakiwa kujiuzulu ndio atatoka mbio kukurupuka na kutoa waraka wa kujiuzulu.

Ukitizama kwa ndani zaidi unagundua hakujiuzulu yeye kama yeye bali ni baada ya shinikizo kutoka juu. huu sii uungwana hatta kidogo.

Tujifunze kuchukua hatua kutoka kwa wenzetu huku wanavyoona kuwa wamekosea basi hawapotezi muda sana na hatimae wanachukua hatua maramoja bila kushinikizwa.




Naunga mkono hoja Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma

P
 
Kinyume cha kujiuzulu ni kugangamala eti?

Katika luga yetu ya kienyeji.
 
Suala hili la kujiuzulu haswa katika nyadhifa za utawala ndani ya sirikale ya CCM. Hili limekuwa ni mwiba mkali sana kwao maana kila linapotkea jambo lisilokuwa na mashiko na ikatokea shinikizo dhidi ya mhusika kutakiwa kujiuzulu linakuwa ni jambo zito mno haswa kwa viongozi wa sirikale.

Mfano halisi ni pale Ndugai alipotakiwa kujiuzulu ilichukuwa muda na hatimae baada ya shinikizo kutoka juu kule juu mnakokuita wenyewe ndio utamuona mwenye kutakiwa kujiuzulu ndio atatoka mbio kukurupuka na kutoa waraka wa kujiuzulu.

Ukitizama kwa ndani zaidi unagundua hakujiuzulu yeye kama yeye bali ni baada ya shinikizo kutoka juu. huu sii uungwana hatta kidogo.

Tujifunze kuchukua hatua kutoka kwa wenzetu huku wanavyoona kuwa wamekosea basi hawapotezi muda sana na hatimae wanachukua hatua maramoja bila kushinikizwa.





Modes wanafuta taarifa za Waziri Mkuu wetu kuhusika kwenye kashfa ya vitenge…!!
 
Suala hili la kujiuzulu haswa katika nyadhifa za utawala ndani ya sirikale ya CCM. Hili limekuwa ni mwiba mkali sana kwao maana kila linapotkea jambo lisilokuwa na mashiko na ikatokea shinikizo dhidi ya mhusika kutakiwa kujiuzulu linakuwa ni jambo zito mno haswa kwa viongozi wa sirikale.

Mfano halisi ni pale Ndugai alipotakiwa kujiuzulu ilichukuwa muda na hatimae baada ya shinikizo kutoka juu kule juu mnakokuita wenyewe ndio utamuona mwenye kutakiwa kujiuzulu ndio atatoka mbio kukurupuka na kutoa waraka wa kujiuzulu.

Ukitizama kwa ndani zaidi unagundua hakujiuzulu yeye kama yeye bali ni baada ya shinikizo kutoka juu. huu sii uungwana hatta kidogo.

Tujifunze kuchukua hatua kutoka kwa wenzetu huku wanavyoona kuwa wamekosea basi hawapotezi muda sana na hatimae wanachukua hatua maramoja bila kushinikizwa.



KUJIUZULU BONGO MPAKA WAKUANDIKIE BARUA NA WAKULAZIMISHE KUSAINI[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom