Suala la maandamano tuwaachie wakenya pekee, maandamano ya Uganda yameshatulizwa, Maandamano Tanzania hatuna muda nayo

Suala la maandamano tuwaachie wakenya pekee, maandamano ya Uganda yameshatulizwa, Maandamano Tanzania hatuna muda nayo

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Nimeona na vijana wa Uganda wametaka kuwaiga wenzao wa Kenya, kwa video kadhaa nilizoziona zinaonesha wazi vijana bado wana uoga sana, kitendo cha kuwaona tu polisi ni nduki !! wachache sana wana ujasiri.

Kwa Tanzania suala la mandamano halina kipaumbele kabisa, Vijana bado ni waoga, wengi hawajaelimika, n.k. Maandamano ni kitu chenye uhuitaji mdogo sana kuliko liufatilia mpira.

Kusema kwamba Tanzania na Uganda mapolisi wa kutuliza ghasia ni hatari kuzidi Kenya ni uongo, wakenya wana umoja, ujasiri na kuandamana kwa wingi wanajenga kitu kinachoogopwa zaidi na serikali kinachoitwa "Nguvu ya umma"
 
Nimeona na vijana wa Uganda wametaka kuwaiga wenzao wa Kenya, kwa video kadhaa nilizoziona zinaonesha wazi vijana bado wana uoga sana, kitendo cha kuwaona tu polisi ni nduki !! wachache sana wana ujasiri.

Kwa Tanzania suala la mandamano halina ki[aumbele kabisa, ni suala lenye uhitaji mdogo kuzidi usimba na uyanga
KAMA UMEOLEWA TULIA IJALISHI KE AU ME.MAANA UNAKULA NA KULIWA MDA UKISHAFIKA
 
Nan
Nimeona na vijana wa Uganda wametaka kuwaiga wenzao wa Kenya, kwa video kadhaa nilizoziona zinaonesha wazi vijana bado wana uoga sana, kitendo cha kuwaona tu polisi ni nduki !! wachache sana wana ujasiri.

Kwa Tanzania suala la mandamano halina kipaumbele kabisa, Vijana bado ni waoga, wengi hawajaelimika, n.k. Maandamano ni kitu chenye uhuitaji mdogo sana kuliko liufatilia mpira.

Kusema kwamba Tanzania na Uganda mapolisi wa kutuliza ghasia ni hatari kuzidi Kenya ni uongo, wakenya wana umoja, ujasiri na kuandamana kwa wingi wanajenga kitu kinachoogopwa zaidi na serikali kinachoitwa "Nguvu ya umma"
i kakuambia ya uganda yemetuoizwa? Ndio kwanzaa wanaanza
 
Watanzania uwezo wa kuandamana na kufanya kweli wanao lakini hakuna sababu ya msingi ya kuandamana kwa sasa. Watu hawawezi kuwa wanaandamana tu kama "fasheni" bila kuwa na jambo la msingi linalowasukuma.

Ni vema 2025 haki itendeke ili watu wawe na amani kuwa njia ya kufanya mageuzi ni sanduku la kura na sio maandamano wala mapinduzi ya kijeshi.
 
Kenya ni ubaya ubwelaa laleq.
 

Attachments

  • c7dd760410b741dd8e31144dfd45bf99.jpg
    c7dd760410b741dd8e31144dfd45bf99.jpg
    81.7 KB · Views: 4
Raia wa Kenya wakiamua kuandamana na kuingia Kampala wanao uweza wa kumngoa Yower asubuh na mapema..
 
Maandamano ya AMANI Bwashee hayo ya Kenya ni ghasia na vurugumechi.

Uzoefu unaonesha maandano ya amani huwa hayaleti impact kubwa.

Maandamano yanatakiwa kuwashtua na kuwaamsha usingizini watawala waliolewa madaraka.
Ili watawala waamke usingizini maandano yanatakiwa kuisimamisha nchi na kugonga vichwa vya habari ndani na nje ya mipaka ya nchi; Mfano wa maandano ya kenya.
 
Back
Top Bottom