inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Al Bashir ni wanajeshi wanaopigana Leo ndiyo walichochea maandamano,wakageukana baada ya Bashir kuondoka,Uganda watoto tu baleghe zinawasumbua wanaandamanaHata Omar Al Bashir alisema hivi hivi mwaka 2019. Huyu bado nchi za Western hazijamchoka vizuri, ikifika point ya kumchoka vizuri muda utaamua.
Wananchi wa hizo nchi wanajua Dola huwashukia vipi wakikaidi amri, Kenya polisi wanapiga selfie na waandamanaji!!Tanzania na Uganda ni rahisi kutisha sababu wananchi ni waoga, hii hupelekea hata maandamano kuwa na watu wachache inakuwa rahisi mno kuyamaliza.
Achana kabisa na kitu kinaitwa nguvu ya Umma,
Al Bashir ni wanajeshi wanaopigana Leo ndiyo walichochea maandamano,wakageukana baada ya Bashir kuondoka
Al Bashir alipopindua alikua kibaraka wa nani?.. siasa za Sudan zipo kivyake,wakuu wa nchi ni wanajeshi kwenye vazi la kiraia,haya hizo pande zinazopingana ni vibaraka wa nani!?Unadhani kwanini jeshi ambalo limemtii kiongozi kwa miaka zaidi ya 30 linaamua kuchochea maandamano na kumgeuka amiri jeshi?
Hivi vitu havitokei kwa bahati mbaya, viko planned. Thats why nimesema bado nchi za western hazijamchoka vizuri, muda wa kufa nyani ukifika hata wale uliokuwa unawaamini, wakikutii na kukupigia salute wanakugeuka tu.
sISI NI MAITI, MAITI HAZIFUFUKI ZIKAFANYA LOLOTENimeona na vijana wa Uganda wametaka kuwaiga wenzao wa Kenya, kwa video kadhaa nilizoziona zinaonesha wazi vijana bado wana uoga sana, kitendo cha kuwaona tu polisi ni nduki !! wachache sana wana ujasiri.
Kwa Tanzania suala la mandamano halina kipaumbele kabisa, Vijana bado ni waoga, wengi hawajaelimika, n.k. Maandamano ni kitu chenye uhuitaji mdogo sana kuliko liufatilia mpira.
Kusema kwamba Tanzania na Uganda mapolisi wa kutuliza ghasia ni hatari kuzidi Kenya ni uongo, wakenya wana umoja, ujasiri na kuandamana kwa wingi wanajenga kitu kinachoogopwa zaidi na serikali kinachoitwa "Nguvu ya umma"
Ujasiri wa vijana wa Kenya wa kuwa tayari kufa kutetea haki, wameionesha dunia kwamba vijana ni Taifa la LEO sio KESHO. Wapewe maua yao vijana wa KENYA!😉Nimeona na vijana wa Uganda wametaka kuwaiga wenzao wa Kenya, kwa video kadhaa nilizoziona zinaonesha wazi vijana bado wana uoga sana, kitendo cha kuwaona tu polisi ni nduki !! wachache sana wana ujasiri.
Kwa Tanzania suala la mandamano halina kipaumbele kabisa, Vijana bado ni waoga, wengi hawajaelimika, n.k. Maandamano ni kitu chenye uhuitaji mdogo sana kuliko liufatilia mpira.
Kusema kwamba Tanzania na Uganda mapolisi wa kutuliza ghasia ni hatari kuzidi Kenya ni uongo, wakenya wana umoja, ujasiri na kuandamana kwa wingi wanajenga kitu kinachoogopwa zaidi na serikali kinachoitwa "Nguvu ya umma"