Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kama huamini mbona huwa haumuamkii?Dudu Baya anamiaka 41 TUUUU,???
Mlalamikaji Joseph ndiye anaueyakiwa kudhibitisha kuwa katwajwaAnafurahi mtuhumiwa na kesi yake. Tena lazima atoe uthibitisho vinginevyo akaozee jela, iwe funzo kwa wengine.
Sio rahisi km unavyodhani, hukumbuki zile video za kutaka kutaja list kwa makonda? Au umesahau anamzungumzia Joseph wa clouds, ili hali hakutaja kusaga? Au clouds kuna Joseph wangapi?Mlalamikaji Joseph ndiye anaueyakiwa kudhibitisha kuwa katwajwa
Je kwenye hao walalamikaji Joseph Ni yupi?
Joseph #joseph kusaga
Ikiwa Joseph =Joseph warioba
Kisheria hiyo tayari chenga
Ingawa dudu aache ujinga wa kuwadhalilisha watu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] njoo chita jkt nikuonyesheMwenye picha ya huyo dudu baya jamani
Sisi tulioko chita huku hatumjui
SawaPengine ulikuwa shule ya Msingi ya Mpango maalum (Memkwa)
Case closed!Sasa Jamhuri kaitukana wapi hapo?
Na wapi kuna jina Kusaga?
Na neno gani ni tusi?
yeah sure ana swing high.....Si alipotea huyu naona kaibukia mahakamani sasa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ame insinuate kuwa huyo Joseph mtajwa ana hisa Waasafi Media Group kupitia mke wake ambaye ni Mzanzibari.Kisheria Joseph kusaga sio sawa na Joseph was clouds. Hayo Ni majina mawili tofauti watu wawili tofauti.
Hapo Joseph kusaga ambaye anashtaki anatakiwa athibishe kuwa yeye ndiye Joseph mtajwa kitu ambayo Ni ngumu
Unakumbuka kesi za lisu kumkashifu rais? Issue Ni rais yupi wakati hata UDSM, TFF Kuna rais
The same kwenye hii drama Ila again dudubaya aache ujinga wa kuwadhalilisha watu
Acha kujitoa ufahamu. Shoga ni ms.enge. Hakuna tafsiri tata hapo. Na kujihusisha na usenge au wasenge ni kashfa kubwa sana.Hakuna kesi hapo, Dudu ajatumia tusi lolote.
Kwani wewe nikisema unafuga mashoga unatafsiri vipi?
Hata maana ya neno SHOGA hujui, muwage kimya km kitu hamkijui, sio lazima kusema kwa kitu ambacho hukijui.Acha kujitoa ufahamu. Shoga ni ms.enge. Hakuna tafsiri tata hapo. Na kujihusisha na usenge au wasenge ni kashfa kubwa sana.
na tumbo huponza makalio hadi yanatobolewa.Mdomo(vidole) huponza kichwa.
Makanjanja mna shida sana!Hakuna kesi hapo, Dudu ajatumia tusi lolote.
Kwani wewe nikisema unafuga mashoga unatafsiri vipi?
Vishoka mnatamba sana kuliko hata mawakili wenye academic qualifications!Mlalamikaji Joseph ndiye anaueyakiwa kudhibitisha kuwa katwajwa
Je kwenye hao walalamikaji Joseph Ni yupi?
Joseph #joseph kusaga
Ikiwa Joseph =Joseph warioba
Kisheria hiyo tayari chenga
Ingawa dudu aache ujinga wa kuwadhalilisha watu
Wee mama ni dhahiri weledi wako ni finyu. Unaona Kusaga kwenda mahakamani ni mjinga? Au una advanced degree ya Kiswahili labda hadi ukakamae na maana halisi ya neno “shoga”? Huyu mtuhumiwa ana historia ndefu ya kutoa maneno na tuhuma za ushoga kwa maadui zake haswa wafanyakazi wa Clouds Media. Kwa hiyo yote haya yatazamwe kwa jicho hilo.Hata maana ya neno SHOGA hujui, muwage kimya km kitu hamkijui, sio lazima kusema kwa kitu ambacho hukijui.