Suala la matumizi ya lugha ya kiswahili kama lugha ya kufundishia laibuka tena Bungeni wakati wa mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Elimu leo tarehe 7/04/2024.
Akichangia hoja Mbunge kutoka zanzibar ndg.Shamsi vuai imeishauri Wizara ya Elimu kutumia Lugha ya Kiswahili katika kufundisha masomo mengine pia ameshauri Lugha ya Kiingereza ifundishwe kama lugha na pia kuwe na wataalamu wa lugha hiyo walio bobea.
Kinacho nishangaza mimi binafsi ni; nani haswa anaye zuia lugha ya kiswahili kutumika??! nani alaumiwe?! Kama sisi sote ni watanzania wa kuzaliwa kwanini tunakuwa na kigugumizi ktk kuamua juu ya matumizi ya lugha yetu ya kiswahili?
Viongozi wetu lazime wawe na utashi wa kuamua ili huu mjadala ufikie mwisho, kila mwaka jambo hili linaibuka!
Akichangia hoja Mbunge kutoka zanzibar ndg.Shamsi vuai imeishauri Wizara ya Elimu kutumia Lugha ya Kiswahili katika kufundisha masomo mengine pia ameshauri Lugha ya Kiingereza ifundishwe kama lugha na pia kuwe na wataalamu wa lugha hiyo walio bobea.
Kinacho nishangaza mimi binafsi ni; nani haswa anaye zuia lugha ya kiswahili kutumika??! nani alaumiwe?! Kama sisi sote ni watanzania wa kuzaliwa kwanini tunakuwa na kigugumizi ktk kuamua juu ya matumizi ya lugha yetu ya kiswahili?
Viongozi wetu lazime wawe na utashi wa kuamua ili huu mjadala ufikie mwisho, kila mwaka jambo hili linaibuka!