Pre GE2025 Suala la Mgombea Urais CCM linaangalia Ukanda, Udini na Ukabila

Pre GE2025 Suala la Mgombea Urais CCM linaangalia Ukanda, Udini na Ukabila

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Riskytaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
568
Reaction score
2,522
Utasikia kuwa Rais ajaye hawezi kutoka dini fulani kwa sababu Rais aliye madarakani tayari ni wa dini hiyo.

Rais hawezi kutoka kanda fulani kwa sababu hiyo kanda ilishatoa Rais.

Rais hawezi kuwa kabila fulani kwa sababu kuna sababu nyingi za kutokubaliana na mtazamo huo.

Masuala ya kulazimisha kubadili udini, ukabila, na ukanda hayana tija katika dunia ya leo.

Hata kama marais watano watatoka mkoa mmoja au dini moja, kama ni wachapakazi wanaweza kuwa Rais.

Huu udini, ukabila, na ukanda vinaweza kuigawa nchi hii.
 
Kama kanisa kuu ndio lilitoa mtu wa kusimamia transformation ya Tanganyika bhas ndilo litakaloendelea kuamua hatma ya urais wa nchi hii!!!

Aidha awe mshirika was kanisa kuu au Taasisi inayofanya compromise na kanisa kuu kama Bakwata!!

Ndivyo ilivyo Hadi kesho!
 
utasikia rais ajaye hawez kua din fulan kwa sababu rais aliyemadarakan ndo dini hio

,rais hawez kutoka kanda fulan kwa sababu hio kanda ilishatoa rais.

rais hawez kua kabila fulan kwa sabubu yan blahblah kibao.

maswala ya kuforce ku alternate udini ukabila ukanda hauna tija dunia ya leo.

hata kama marais 5 watatoka mkoa mmoja,dini moja ila ni wachapakazi wanaweza kua rais

huu udin ukabila ukanda utakuja kugawa hili taifa
ati baba wa TAIFA alisemaga kwamba rais asiwe MCHAGGA,MHYA au MYAKYUSA!!! nauliza,ni kweli? na kama ni kweli ni kwa nini?
 
utasikia rais ajaye hawez kua din fulan kwa sababu rais aliyemadarakan ndo dini hio

,rais hawez kutoka kanda fulan kwa sababu hio kanda ilishatoa rais.

rais hawez kua kabila fulan kwa sabubu yan blahblah kibao.

maswala ya kuforce ku alternate udini ukabila ukanda hauna tija dunia ya leo.

hata kama marais 5 watatoka mkoa mmoja,dini moja ila ni wachapakazi wanaweza kua rais

huu udin ukabila ukanda utakuja kugawa hili taifa
Pamoja na mambo mazuri aliyooasisi Nyerere kwa hili akiharibu sana

Mawozo ya kijima au kijamaa yalimharibu fikra
 
Rais lazima awe Mkatoliki
Kivipi mkuu? Ila kuna jambo moja Kanisa Katoliki liliwapiga bao makanisa mengine na dini nyingine. Catholic Church, liliwaandaa waumini wao ili waje kuwa wa tawala in this case lilijenga shule na hospitali ili wa some tena elimu mzuri na kutibiwa wakiugua. Wakati makanisa mengine na dini nyingine wameshtuka hivi majuzi. Lakini Sasa hivi karibu makanisa na dini nyingine wame- catch up.
 
Jambo hili lipo kwa ndaaaaani,ingawa alionekani limewekewa kiwambo.
 
Back
Top Bottom