Hivi wenzetu wafaransa waliweza vipi kupangilia vizuri namna hii miji yao.mfumo wao wa ujengaji makazi ukoje ?
Ukilinganisha na hapa kwetu Dar ambapo ndiyo wtz wengi wanapasifu,unaona kabisa utofauti mkubwa.Nini kifanyike ili na sisi miji yetu ipendeze?
Mimi napendekeza wanaohusika na mipango miji wakajifunze Kwa wenzetu ili wapate uzoefu.Na wewe pendekeza ambacho unaona kinafaa kufanyika ili miji yetu ipendeze kama ya wenzetu.
Picha Moja ni jiji la Paris na nyingine ni jiji la Dar es Salaam
Ukilinganisha na hapa kwetu Dar ambapo ndiyo wtz wengi wanapasifu,unaona kabisa utofauti mkubwa.Nini kifanyike ili na sisi miji yetu ipendeze?
Mimi napendekeza wanaohusika na mipango miji wakajifunze Kwa wenzetu ili wapate uzoefu.Na wewe pendekeza ambacho unaona kinafaa kufanyika ili miji yetu ipendeze kama ya wenzetu.
Picha Moja ni jiji la Paris na nyingine ni jiji la Dar es Salaam